Wantaed man tapeli anatafutwa na Polisi

Wantaed man tapeli anatafutwa na Polisi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
1506033_1500438866896622_3322782991123567926_n.jpg


10806447_1500438933563282_4085167225312446523_n.jpg


Wanachama Wenzangu wa Jamii Forums Huyu Bwana Mdogo NI TAPELI MKUBWA Anatafutwa NA POLISI kama wewe ni Mungwana umemuona huyu kokote tunakuomba tupatie taarifa zake TUNAOMBA USHIRIKIANO WENU. Ukimuona Mahali usisite Kutupigia simu namba 0687 446644 Huyu Tapeli anaitwa kwa jina hili shekhe sharifu Rahili Au jina jingine anajiita kwa jina hili LAHILL ASHIRAFI NABILI. Hati ya Polisi ya kumkamata hii hapa Arrest warrant (ARABII NO. KLR/PE/23/2014)
 
Amekutapeli nini na anaitwa nani! Angalia huyo ni SWALA TANO!!
 
ni mtu wa Tanga au wapi,manake Muhongo alisha tuambia kuwa watu wa kutoka kule ni wavivu
 
Jina lake nani?

amekutapeli nini na sisi tujue tusijetapeliwa kama wewe

Amekutapeli mkuu,???

Amekutapeli nini na anaitwa nani! Angalia huyo ni SWALA TANO!!

Huyu so mtoto kwa kikwete?

ni mtu wa Tanga au wapi,manake Muhongo alisha tuambia kuwa watu wa kutoka kule ni wavivu

Huyo mtu ni nani.? Anakaa wapi , alisoma wapi? Amekutapeli nn?

To a jibu we mzizi wacha

Mshavu dodo.

Mkuu tufanunulie tafadhali
Huyu Mpumbavu anajiita LAHILL ASHIRAFI NABILI amewatapeli wadogo zangu wa kike nyumba ameuza nyumba yao kisha ametoweka na pesa zote. Nikimpata huyu Shetani nitamkata kichwa chake kitakuwa halali kwangu.
 
LAHILL ASHIRAFI NABIL
Mkuu MziziMkavu pole kwanza kwa utapeli huo. Huyu jamaa ni mwenyeji wa wapi??
 
Last edited by a moderator:
Huyu Mpumbavu anajiita LAHILL ASHIRAFI NABILI amewatapeli wadogo zangu wa kike nyumba ameuza nyumba yao kisha ametoweka na pesa zote. Nikimpata huyu Shetani nitamkata kichwa chake kitakuwa halali kwangu.
Kiongozi pole sana, watu imani imetoweka
 
Huyu Mpumbavu anajiita LAHILL ASHIRAFI NABILI amewatapeli wadogo zangu wa kike nyumba ameuza nyumba yao kisha ametoweka na pesa zote. Nikimpata huyu Shetani nitamkata kichwa chake kitakuwa halali kwangu.

Pole sana mkuu, tuliza hasira madhali yupo hai atapatikana tu
 
Back
Top Bottom