Wantaed man tapeli anatafutwa na Polisi

Wantaed man tapeli anatafutwa na Polisi

Mama watu wa pwani watakuja na hasira hapa nna watasahau mada....jiandae



....ingawa sura yake inafanania huko ulikosema


Nimepita tu sijaongea lolote


Kwa mzizimkavu i wish mumkamate...inauma sana kuibiwa
hahaaaa... wamenisamehe.
 
Mapolis hawanaga msaada kwa upande wangu.nilishawapelekea kesi na kuwapa namba ya mtuhumiwa wakashindwa kunisaidia. Kwa vile mimi mtoto wa mjini nilimtia mbaroni mwenyewe nikaenda kuwakabidhi kituoni. Aibu kwa mapolisi

Nakielewa ndugu unacho niambia, Ila hawa Polisi hawa, uwezo wa kushughulika na mhalifu kama huyu na kumkamata kwa siku tatu wanao. Ninauhakika na hiki ninacho kisema. Tatizo kubwa la Chombo hiki ni mfumo wake muhimu tayari ume-Paralyzed. Kwa hari tuliyo ifikia ni ngumu kubadilika, labda kikatiba ingekuwa makamanda wote wa mkoa wawe pia answerable moja kwa moja kwa bunge au kwa kamati maalumu itakayoundwa na bunge. Kilicho kuwepo sasa hivi katika Jeshi la Polisi, kila mkuu wake mpya anakuwa na vipaumbele vyake, yaani kama siasa siasa hivi. Mwenendo huu ni wakipuuzi.
 
Naombeni na atakayemuona huyu anipigie simu, namba yangu ni 112

View attachment 206169


Singa Singa na Rushwa Polis.jpg View attachment 206811
 
Back
Top Bottom