Wantaed man tapeli anatafutwa na Polisi

Wantaed man tapeli anatafutwa na Polisi

Waambie waende makao makuu ya Jeshi la Polisi, pale kuna kitengo cha teknohama. Wawe na namba zake za simu zote walizo kuwa wakiwasiliananaye awali pamoja na hii picha yake,.husijari hata kama hizo namba alizisajiri na majina ya uongo. Kitakacho fanyika ni hivi, watawapata watu wote aliokuwa akiwasiliana nao hadi mtu wa mwisho, hapo ndipo uchambuzi unapoanzia taratibu wa kuwafahamu wanao mfahamu alipo na pia kufahamu namba zake mpya anazotumia kwasasa. Ki ukweli wale askari wakiwa serious, hakatizi siku tatu, mnaye mikononi. Kama unalifahamu hili vyema, ila kama ulikuwa hujui hebu waambie wafanyie kazi ushauri huu.
 
MziziMkavu najua dada zako wametapeliwa,najua bado wana maumivu sana ,kama vipi waambie waniwekee 3mils ubaoni,ndani ya siku nne,jamaa anakuja na hela yote,fanyeni haraka kabla hajazitumia.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu najua dada zako wametapeliwa,najua bado wana maumivu sana ,kama vipi waambie waniwekee 3mils ubaoni,ndani ya siku nne,jamaa anakuja na hela yote,fanyeni haraka kabla hajazitumia.
Wameibiwa Pesa za nyumba yao hata mahali pa kuishi hawana wewe unaomba TZ 3 Millioni kaka King Kong III ? Kaka huwaonee huruma?

itakuwa aliwaingia kwa gear ya uganga tu huyo au sio mzizi mkavu?
Ndivyo itakavyo kuwa si unajuwamjini shule? Mimi Sipo hapo laiti ningelikuwepo angeliona cha mtema kuni beleza Ningelimtafuta na kumkata kichwa chake kama vile Al-shababu wanavyokata watu vichwa angenitambuwa ana bahati mshamba huyu.
 
Last edited by a moderator:
Guarantee atakuwa wa pwani.

Lazy bones ambao hujifanya kujanjarukia ukubwani.

Wakitoka hapo kazi ni msuli na kuoa tubinti tudogooo

Such a shame.

Acha matusi ya reja reja. Ivi wale maaskofu walioshiriki utapeli wa kuiba pesa za umma unawatukana matusi gani?

Pia ukiangalia walioiba pesa za escrow wote si watu wa pwani nao unawapa matusi gani?

Tapeli hana cha pwani wala wapi.
 
Waambie waende makao makuu ya Jeshi la Polisi, pale kuna kitengo cha teknohama. Wawe na namba zake za simu zote walizo kuwa wakiwasiliananaye awali pamoja na hii picha yake,.husijari hata kama hizo namba alizisajiri na majina ya uongo. Kitakacho fanyika ni hivi, watawapata watu wote aliokuwa akiwasiliana nao hadi mtu wa mwisho, hapo ndipo uchambuzi unapoanzia taratibu wa kuwafahamu wanao mfahamu alipo na pia kufahamu namba zake mpya anazotumia kwasasa. Ki ukweli wale askari wakiwa serious, hakatizi siku tatu, mnaye mikononi. Kama unalifahamu hili vyema, ila kama ulikuwa hujui hebu waambie wafanyie kazi ushauri huu.
Asante ndugu hongera sana kwa ushauri wako VITA VYA KAGERA
 
Last edited by a moderator:
Pump?#)!?_;😉)'?,#)(/\_#;:,@_#(full! Mnatafuta tapeli wa mbagala badala ya tapeli wa nchi
 
mzizi nakuhakikisihia kama POLICE watatoa ushirikiano unaotakiwa haitochukua muda kumshika uyo(escrow) wenu.duhh inauma sana ..najua maumivu yake kwa vile yameshawahi kutufika .jamaa alikuja na akamtapeli bro wetu dola 76000 tena nikutoka huko TZ. c wasahauri kwenda kwa mganga juu ya hilo@ushauri tuu mkuuu!!!!
 
mzizi nakuhakikisihia kama POLICE watatoa ushirikiano unaotakiwa haitochukua muda kumshika uyo(escrow) wenu.duhh inauma sana ..najua maumivu yake kwa vile yameshawahi kutufika .jamaa alikuja na akamtapeli bro wetu dola 76000 tena nikutoka huko TZ. c wasahauri kwenda kwa mganga juu ya hilo@ushauri tuu mkuuu!!!!
Wakishindwa Polisi waKi-Tanzania kumkamata huyu Mhalifu Tapeli LAHILL ASHIRAFI NABILI. nitawalete Polisi wa Ki-Marekani FBI waje kumkamata na haitochukuwa siku zaidi 3 atakuwa yupo mikononi mwa Polisi wa Kipelelzi wa Ki-Marekani FBI. Mkuu.@beleza
 
Wamekutana nae hapo hapo Mjini Dares-Salaam ndipo alipo watapeli ukitaka maelezo zaidi unaweza kuwapigia simu wadogo zangu kwa namba hii hapa 0687 446644 Mkuu mtu chake

Kithibitisho kipo ngojea niwasiliane na mdogo wangu nitakiweka hapa jukwaani au wewe kama unaweza mpigie simu mdogo wangu kwa namba hii hapa 0687 446644 atakupa maelezo yote kwa ujumla kwani mimi nipo Ughaibuni sipo Tanzania. Mkuu.@Donnie Charlie
....sawa mkuu...
 
Pole sana mkuu, kweli inauma, mimi mwenyewe nawatafuta matapeli watatu, waliomtapeli mdogo wangu, bandarini kwa kuwaihidi kumfanyia mpango wa Gari za Mnada bandarini (zisizo lipwa ushuru) kwakweli dogo aliingia hadi bandarini, akakagua gari, akaambiwa alipe kisha process alizoambiwa ziendelee, yeye asubiri, akasubiri masaa aliyoambiwa...... hadi leo jamaa alipotelea palepale bandarini hakuonekana, simu haipatikani hadi leo!!! namba za matepeli hao ni 0653147021 -huyu ni mdada anaitwa Halima, 0784929778-huyu mwanaume ndo kiunganishi (atakwambia kuhusu kupata gari bandarini ilivo rahisi, na atakuaminisha hadi unaingia laini kama ndio mara yako ya kwanza kusikia hili) na kisha huyu mwanaume anaitwa Shomari Mhunzi- 0753162892 (kwa mjibu wa usajiri wa vodacom)- ndio anakupeleka bandarini ndani hadi kukagua gari-kisha anakupa process--unalipia, kisha anasema subiri sehemu amalize akuletee listi kisha process za kulipa zifuate.
Hao matapeli sijui kama wana ID humu JF, ila hutembelea humu, hasa kwenye thread ya wanaotaka magari humu; ndipo yeye hutafuta mawasiliano na kukupigia.

NAOMBA kama kuna aliye athirika na hawa, hata kama bado wanawasiliana hawajafikia hatua ya kufanya biashara husika, itambulike hivyo kuhusu watu hawa, tusaidiane kuwapata kwa wenye weledi huo. NA inawezekana wanapitia UZI huu, Nawaambia Ni kweli kwa Binadamu inaweza kuwa haiwezekani kuwapata kirahisi; Ila kwa Mungu inawezekana, maana hata sasa YEYE anawaona walipo, wanachofanya na hata wana waza nini, Pia Mungu si dhalimu kiasi cha kufanya wengine walie kwa ajili ya utapeli huo na wao wakabaki wanakula BATA tu kwa hela ya maskini (bora ingekuwa ya kifisadi). Muiomba Mungu hujibiwa, haijalishi lini, lakini Mungu anajua na hapendi udhalimu wa aina hii na unaofanana. WARUDISHE PESA ZA WATU. Matapeli jiangalieni, wengine hawatamtegemea Mungu, Ila duniani kuna Miungu HATARI kuliko rehema za Mungu!! watch out!!!

Naomba ushirikiano wenu, na wengine pia msiingie mkenge kwa utapeli wa namna hii: (be warned)
 
Picha ya kwanza akiwa kwenye boti na picha ya pili kwenye bus, kwa asilimia kubwa atakua anachezea ukanda wa Pwani tu.
 
Picha ya kwanza akiwa kwenye boti na picha ya pili kwenye bus, kwa asilimia kubwa atakua anachezea ukanda wa Pwani tu.
Mkuu morphine ni kweli huyu Mwizi,Shetani Tapeli anapenda kutembelea sehemu za Mwambao waPwani na kwao ni Mjini Pemba kwa Member mmoja anayeitwa kwa jina hili Mkuu utafiti huenda unamjuwa huyu Tapeli?
 
Last edited by a moderator:
Mama watu wa pwani watakuja na hasira hapa nna watasahau mada....jiandae


Guarantee atakuwa wa pwani.

Lazy bones ambao hujifanya kujanjarukia ukubwani.

Wakitoka hapo kazi ni msuli na kuoa tubinti tudogooo

Such a shame.
....ingawa sura yake inafanania huko ulikosema


Nimepita tu sijaongea lolote


Kwa mzizimkavu i wish mumkamate...inauma sana kuibiwa
 
Waambie waende makao makuu ya Jeshi la Polisi, pale kuna kitengo cha teknohama. Wawe na namba zake za simu zote walizo kuwa wakiwasiliananaye awali pamoja na hii picha yake,.husijari hata kama hizo namba alizisajiri na majina ya uongo. Kitakacho fanyika ni hivi, watawapata watu wote aliokuwa akiwasiliana nao hadi mtu wa mwisho, hapo ndipo uchambuzi unapoanzia taratibu wa kuwafahamu wanao mfahamu alipo na pia kufahamu namba zake mpya anazotumia kwasasa. Ki ukweli wale askari wakiwa serious, hakatizi siku tatu, mnaye mikononi. Kama unalifahamu hili vyema, ila kama ulikuwa hujui hebu waambie wafanyie kazi ushauri huu.

Mapolis hawanaga msaada kwa upande wangu.nilishawapelekea kesi na kuwapa namba ya mtuhumiwa wakashindwa kunisaidia. Kwa vile mimi mtoto wa mjini nilimtia mbaroni mwenyewe nikaenda kuwakabidhi kituoni. Aibu kwa mapolisi
 
Back
Top Bottom