Wangapi wapo single humu?

Wanawake mkiwa kitaa mnakuwa tofauti saana,na maisha mnayo ishi jamii forums..kitaa mnajifanya mko occupied tayari.lakini huku Jf mnalia Lia mara kwa mara kwa kukosa wanaume...badilikeni
 
Wanawake mkiwa kitaa mnakuwa tofauti saana,na maisha mnayo ishi jamii forums..kitaa mnajifanya mko occupied tayari.lakini huku Jf mnalia Lia mara kwa mara kwa kukosa wanaume...badilikeni
Dah haya ila hu uzi nimetoa ili masingle wakutane wapate wachumba single wasiwepo humu mimi nipo njia panda
 
Mkuu kuna offer inapatikana kwa sisi tulio single
 
Wanaume Siku zote tu tuko single sisi
 

Baba!
 
Hahahaha asee
JF Jana na Leo kuna Mada chokozi sana

Single boy kama kawa

*mwenye mashairi ya wimbo wa single boy wa Jay Dee na Ali kiba atupie hapa*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…