Wangapi wapo single humu?

Sasa kama napenda chura nisiwe muwazi??!
Punguza vigezo hujui humu kuna watu wanakupendaga ila kigezo chako ndio kinakuweka mpweke legeza sema chura iwe wastani ila awe mrembo sio sana nitaibiwa asiwe mrefu sana wastani couze nitashindwa kushika yote miguu vizuri .
Basi ule mzigo wako kirahisi so nataka chura nenda miferejini.
 
Acheni kuona aibu shukeni walio single mupeane raha hii chrismass usikubali kula mwenyewe .
Napia ukianza mwaka usipende kukaa bila kumisiwa au kumiss mtu .
 
Mimi bila kupata chura kubwa heri nibakie single milele!
 
Mimi ni single ila nangoja kupendwa nikipenda Mimi sitapendeka na ninaempenda
Nangoja kupendwa mie
 
Eh atakaye wahi ila unaweza kushinda majaribu couze huku niliponjia panda pamejaa visaa.
nitayashinda tu hayo majaribu maana kupata kitu kizuri lazma utapitia vikwazo vingi, survival of the fittest itatumika hapo.
 
We ni Ke au Me na status yako ni ipi
 
Mimi bila kupata chura kubwa heri nibakie single milele!
mkuu una nini lkn mbna unapenda sana chura aisee yahn ww kila uzi wa mapenz unahitaji churaaa....mkuu una michezo ya amba nn????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…