Wangapi wanayapenda haya maisha?

Wangapi wanayapenda haya maisha?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,136
Reaction score
55,605
Wangapi wanayapenda haya maisha?
life.jpg
 
Wamemuelemea tu maskini dada wa watu yeye anahenyeka na moto hapo mwingine juu anamwagia maziwa huku anataka kumdondokea na huyu jamaa anambambabamba hapo nyuma, wangekuwa wote free wanacheza bustanini au kitandani ingependeza zaidi!
 
I disagree

Anae mume hapo anamuonyesha malavidavi halafu katoto kake kapo pemben kanamchokoza

Uwepo wa watu hao wawili ni kafuraha tosha

Ukichunguza pcha hapo baharia atakuwa anaambiwa "nawe si usibiri nimalize kupika jamani we na junior ni wasumbufu "
Yeah she isn’t even happy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I disagree

Anae mume hapo anamuonyesha malavidavi halafu katoto kake kapo pemben kanamchokoza

Uwepo wa watu hao wawili ni kafuraha tosha

Ukichunguza pcha hapo baharia atakuwa anaambiwa "nawe si usibiri nimalize kupika jamani we na junior ni wasumbufu "

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana kutofautiana😆
 
Back
Top Bottom