DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,536
- 1,998
hivi ilitoka maka gani dada yangu??Hatareeee 💃💃💃
hivi ilitoka maka gani dada yangu??Hatareeee 💃💃💃
Maka ndo ninihivi ilitoka maka gani dada yangu??
miaka my badMaka ndo nini
Sauwa😂😂😂miaka my bad
Tisher💃💃💃Naupenda zaidi moto oyo na napesi
WajueSiwajui
KweliKati ya mwaka 2012 na 13 walikuja bongo kama sijakosea ni Prime time promotion ya clouds iliwaleta
HahahaahSiku nazo zakimbia kama wanariadha.
Nakumbuka enzi hizo RFA ndio baba lao haswaa,wamepiga sana hizi,maana bongo mamho hayakuwa mengi kama sasa hivi.
Ilikuwa ni rahisi mmasai kijijini huko kuujua wimbo wa awilo,kuliko cool james.