Wangapi wanawajua wanamziki "MAKOMA"?!

Wangapi wanawajua wanamziki "MAKOMA"?!

Wimbo mzuri sana ila mi sio mhenga mama yangu mdogo alikua anawapenda sana hawa makoma kipindi hicho mida ya jioni ITV lazima waupige


kitu Napesi yoooooooooooooooo.


Hivi ni wa nchi gani wale?


Albàmu ya 2000 mwaka


From DRC Congo. Hao ni watoto wa familia 1.FAMILLE MAKOMA, Ila kwasasa walisha vunja Ilo kundi lao kutokana na majukum mbali mbali hasa majukum yakifamilia


Kitambo sana.

Umenikumbusha mbali sana.


mwingine unaitwa natambolii pia moto oyo


Ukiwajua Makoma unakuwa Mhenga!??


Eti umeshawowa/olewa na una watoto.


Money Penny njoo PM nikuulizage


Mje na huku kwa wahenga mwapitwaa Story: Mahusiano
 
Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma"

Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi

Wangapi wanaujua huu wimbo?!

Kama unaujua wewe ni muhenga unatakiwa uwe umeshawowa /olewa na una watoto



Cc:
Honey 50thebe huu wimbo ulikuwa ushazaliwa au ulikuwa kwa tumbo ya mamayako?!


Honey Money Penny mwaka ambao hawa ndugu ambao kundi lao waliliita Makoma wakitamba na vibao vyao kadhaa wa kadhaa, first born wangu alikuwa anafikisha miaka 11.

Mwaka ambao mabinti Wamarekani wakiitwa TLC wanatusua anga za muziki na kibali chao cha "Chasing Waterfall" nilikuwa nasubiri kujiunga tertiary education.



Nishakuwa mhenga mzoefu Honey Money Penny
 
Honey Money Penny mwaka ambao hawa ndugu ambao kundi lao waliliita Makoma wakitamba na vibao vyao kadhaa wa kadhaa, first born wangu alikuwa anafikisha miaka 11.

Mwaka ambao mabinti Wamarekani wakiitwa TLC wanatusua anga za muziki na kibali chao cha "Chasing Waterfall" nilikuwa nasubiri kujiunga tertiary education.



Nishakuwa mhenga mzoefu Honey Money Penny

Uuuuwi ni sheedah honey
Hongera sana
Njoo PM tuyajenge
 
Back
Top Bottom