Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,079
- 165,849
really?Sijakuona kabisa shem
really?Sijakuona kabisa shem
Uuuuwi ni sheedah honey
Hongera sana
Njoo PM tuyajenge
Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma"
Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi
Wangapi wanaujua huu wimbo?!
Kama unaujua wewe ni muhenga unatakiwa uwe umeshawowa /olewa na una watoto
Cc:
Honey 50thebe huu wimbo ulikuwa ushazaliwa au ulikuwa kwa tumbo ya mamayako?!
Unawaongelea ''Makoma'' unawafahamu ''KAOMA'' ?Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma"
Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi
Wangapi wanaujua huu wimbo?!
Kama unaujua wewe ni muhenga unatakiwa uwe umeshawowa /olewa na una watoto
Cc:
Honey 50thebe huu wimbo ulikuwa ushazaliwa au ulikuwa kwa tumbo ya mamayako?!
Sauwa
Mweee kumbe kuna aliekufaga?!Na yesu masiah
Eeeh
Wakaka walivyokuwa wanarap
Pia niliwahi sikia kuwa yule Dada dume aligongwa akafariki
Wakumbuka wap best?!Nikiwasikiaga makoma, nakumbuka mbali sana.....maisha haya, acha yawe tu
Kumbe NI bacongo na France?!Nilijua. Hawa jamaa. Ni waSouth
SiwajuiUnawaongelea ''Makoma'' unawafahamu ''KAOMA'' ?
Hataree 🔥🔥🔥🔥Butu na moyi
Ungeandika hata kisukuma tuKipind nimeanza kuwajua jamn they was drive ma mood crazy
Leo ktk pita pita zangu WhatsApp status video nikamwona cousin wangu kaweka wimbo huu wa wanamziki wa Gospel wanaitwa "Makoma"
Doh ulinikosha sana naupendaje alafu hauchuji unaitwa Butu na Moyi
Wangapi wanaujua huu wimbo?!
Kama unaujua wewe ni muhenga unatakiwa uwe umeshawowa /olewa na una watoto
Cc:
Honey 50thebe huu wimbo ulikuwa ushazaliwa au ulikuwa kwa tumbo ya mamayako?!
Hatareeee 💃💃💃mimi nawajua kipindi nipo mdogo kama miaka kamam 4 hivi mzee alikuwa anatusikilizisha hadi akaaamua kutununulia kanda yake zile za utumbo amabazo zina side ikiisha unaweka side b ...naikubali sana nyimbo karibia zore tukianzia ...napesi, butu na moi, na ile yote majina nimeyashau