Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,533
- 32,757
IDD amin yeye alikuwa hana shida na Tanzania,yeye shida yake ilikuwa Obote ambaye Nyerere alimpa hifadhi.Kwa hiyo unataka tuambia kichapo alichopewa Idd Amin ilikuwa ni maelekezo aliyopewa NYERERE na mabeberu wa Ulaya ama. Emu tueleze aseee
Nyerere aliua uchumi na kusababisha vifo vya Watanzania wengi ili kumlinda rafiki yake Obote.Ni kama anavyofanya UE na Zelensiky-Putin alikuwa hana shida na Ukraine yeye shida yake ni Serikali iliyopo kutofuata makubaliano.
Hata wewe ungekuwa Idd Amini unapoona adui wako yupo mlangoni kwako utakaa vipi kwa amani.