Wanenguaji wa 'Kanga Moko' wapigwa Risasi

kambitza

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
2,045
Reaction score
1,325
Inasemekana kuwa wale wana Dada wa kundi la Kanga Moko wamepigwa Risasi muda huu.... Walipokuwa wakicheza matarumbeta kwenye harusi. Mmoja kapigwa Risasi ya makalio, Mwingine ya paja. Wamekimbizwa hospital ya mwananyamala kupata matibabu.
=============================================================


 
Hawa stripers wabongo.. namuonea huruma huyo aliyepigwa risasi ya makalio duuh
 
Tukio limetokea na wapo mwananyamala Hospital muda huu.

Watu wanafatilia nimeona pia kuna mtangazaji ameshapost.



 

Attachments

  • 1403116065368.jpg
    61.2 KB · Views: 7,004
Kamilisha habari mkuu au umesimuliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…