Life2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,377
- 4,847
Siku kadhaa zilizopita kulitokea sintofahamu baada ya chama la Yanga kuchangia kwenye harambee ya CCM Tsh milion 100 ni mengi sana yaliibuka na yanaendelea kuibuka.
Kuna wale wanaoichukia Yanga kuanzia utoto wao, kuna wachambuzi uchwara, kuna mashabiki wa Simba na wao pia wamepata pa kutolea sumu zao na mbaya zaidi kuna wanaYanga na wao wamejaa kwenye mfumo.
Ni kweli kitendo kilichofanywa na viongozi wetu sio kizuri ila limeshatokea je tuendelee kupiga kelele na kusahau ya msingi yaliyoko mbele yetu? La hasha hapana.
Viongozi wetu wanamasikio natumai wamesikia na kutambua hilo walikiri hadharani na kuomba msamaha.
Kikwetu mtu akiomba msamaha anasamehewa, kwani hakuna mkamilifu kwenye hii dunia.
Viongozi wetu bado ni vijana, bado wanatafuta uzoefu, basi hata wanapokosea tuwaelekeze kwa upole.
Kumbe basi umefika wakati wa wanayanga kushusha silaha zetu chini na kuungana kwa maslahi mapana ya timu yetu.
Kuna wale wanaoichukia Yanga kuanzia utoto wao, kuna wachambuzi uchwara, kuna mashabiki wa Simba na wao pia wamepata pa kutolea sumu zao na mbaya zaidi kuna wanaYanga na wao wamejaa kwenye mfumo.
Ni kweli kitendo kilichofanywa na viongozi wetu sio kizuri ila limeshatokea je tuendelee kupiga kelele na kusahau ya msingi yaliyoko mbele yetu? La hasha hapana.
Viongozi wetu wanamasikio natumai wamesikia na kutambua hilo walikiri hadharani na kuomba msamaha.
Kikwetu mtu akiomba msamaha anasamehewa, kwani hakuna mkamilifu kwenye hii dunia.
Viongozi wetu bado ni vijana, bado wanatafuta uzoefu, basi hata wanapokosea tuwaelekeze kwa upole.
Kumbe basi umefika wakati wa wanayanga kushusha silaha zetu chini na kuungana kwa maslahi mapana ya timu yetu.