Kuna hawa jamaa Matapeli wamejitangaza kama Employers kwenye hii website ya 3Wjobs.com kwa kutumia jina la Kampuni moja maarufu inayochimba madini hapa nchini. Kuna nafasi za kazi zimetangazwa pale na utatakiwa kutuma CV yako kwenye hii website na hawa matapeli watajulishwa na hii website kwasababu wamejiweka wao ndiyo Employers.
Baada ya siku moja au 2 baada ya kuweka CV yako watakupigia simu kukuomba uwatumie nakala za vyeti vyako na kukuambia kwamba kutokana na maelezo ya kwenye CV yako na vyeti vyako inaonekana kwamba you are the right candidate for the job. Watakuambia inabidi uwapoze wazee kwasababu wameshaamua kukupa hiyo nafasi. kwasababu wewe uliomba hiyo nafasi online na kwenye website inayofahamu kuwa ni legitimate na pia kwasababu unashida ya kazi unaamua kuwatumia pesa.
Baada ya hapo watakutumia fake contract yenye nembo ya kampuni hiyo ya madini watakuambia uweke sahihi alafu uwatumie. Usiposhituma mapema wataendelea kukurubuni na vijisababu vingi tu ili uendelee kuwatumia pesa.. k.m. watakuambia kuna Bosi moja wa HR ambaye alikuwa na mtu wake ambaye anadai apozwe kwasababu mtu wake hakuchukuliwa utawatumia pesa tena, mara watakuambia anayehusika na kuidhinisha tiketi za ndege anazingua kwasababu anajua kuwa wale wenzake wamepewa hela naye anataka apozwe.
Baadaye watakutumia hadi barua ya ajira kwenye e-mail yako ikiwa na nembo ya kampuni hiyo.. sasa itakapofikia kukutumia tiketi ya ndege, wanaanza ooh.. mara kuna matatizo yametokea pale ofisini, subiri watakutumia. They are sweat talkers, huwezi kuamini ni matapeli na ukiwapigia simu wanapokea na kukupa ahadi za uongo.
Namba za simu wamesajili kwa kutumia majina na vitambulisho feki. Ndg zangu mnaotafuta kazi kuweni makini na hawa jamaa, wapo jamaa wane na wanakaa maeneo ya Kinondoni. Sasa ukishawashtukia na kuwaambia wakurudishie pesa yako, wanakuambia tutafutie mtu mwengine alafu tuchukue pesa kwake tukurudishie wewe.. just imagine!
Jamaa wenyewe, namba na e-mail zao ni hawa hapa:-
Boniface Mrema 0655787879 (huyu ndiyo kiongozi wao)
Emmanuel John 0712547980
Rweyamamu Z.Nyakale (Mr. Shukuru) 0714219993 / 0758838388 (huyu anajiita HR Manager)
Regnard Mluma 0715990556
LAURENT KILAMA <jonkilama@yahoo.com>
Emmanuel Ngawilo <engawilo@aol.com>
Baada ya siku moja au 2 baada ya kuweka CV yako watakupigia simu kukuomba uwatumie nakala za vyeti vyako na kukuambia kwamba kutokana na maelezo ya kwenye CV yako na vyeti vyako inaonekana kwamba you are the right candidate for the job. Watakuambia inabidi uwapoze wazee kwasababu wameshaamua kukupa hiyo nafasi. kwasababu wewe uliomba hiyo nafasi online na kwenye website inayofahamu kuwa ni legitimate na pia kwasababu unashida ya kazi unaamua kuwatumia pesa.
Baada ya hapo watakutumia fake contract yenye nembo ya kampuni hiyo ya madini watakuambia uweke sahihi alafu uwatumie. Usiposhituma mapema wataendelea kukurubuni na vijisababu vingi tu ili uendelee kuwatumia pesa.. k.m. watakuambia kuna Bosi moja wa HR ambaye alikuwa na mtu wake ambaye anadai apozwe kwasababu mtu wake hakuchukuliwa utawatumia pesa tena, mara watakuambia anayehusika na kuidhinisha tiketi za ndege anazingua kwasababu anajua kuwa wale wenzake wamepewa hela naye anataka apozwe.
Baadaye watakutumia hadi barua ya ajira kwenye e-mail yako ikiwa na nembo ya kampuni hiyo.. sasa itakapofikia kukutumia tiketi ya ndege, wanaanza ooh.. mara kuna matatizo yametokea pale ofisini, subiri watakutumia. They are sweat talkers, huwezi kuamini ni matapeli na ukiwapigia simu wanapokea na kukupa ahadi za uongo.
Namba za simu wamesajili kwa kutumia majina na vitambulisho feki. Ndg zangu mnaotafuta kazi kuweni makini na hawa jamaa, wapo jamaa wane na wanakaa maeneo ya Kinondoni. Sasa ukishawashtukia na kuwaambia wakurudishie pesa yako, wanakuambia tutafutie mtu mwengine alafu tuchukue pesa kwake tukurudishie wewe.. just imagine!
Jamaa wenyewe, namba na e-mail zao ni hawa hapa:-
Boniface Mrema 0655787879 (huyu ndiyo kiongozi wao)
Emmanuel John 0712547980
Rweyamamu Z.Nyakale (Mr. Shukuru) 0714219993 / 0758838388 (huyu anajiita HR Manager)
Regnard Mluma 0715990556
LAURENT KILAMA <jonkilama@yahoo.com>
Emmanuel Ngawilo <engawilo@aol.com>