Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,156 13,258 Jan 30, 2016 #5 safi sana....................................................
PAGAN JF-Expert Member Aug 19, 2014 12,121 20,001 Jan 30, 2016 Thread starter #9 longi mapexa said: hakuna wanaume nn Click to expand... Hapo wanaume tuko pembeni tu tunacheki huku tunakunywa togwa, ngoma ikiisha tunawasubiri watoto maporini
longi mapexa said: hakuna wanaume nn Click to expand... Hapo wanaume tuko pembeni tu tunacheki huku tunakunywa togwa, ngoma ikiisha tunawasubiri watoto maporini
iGodmanhustler JF-Expert Member Jan 26, 2013 609 339 Jan 30, 2016 #10 Kama mambo ya Natural ndio hayaaa..acha niendelee kukomaa na kina fake hair fake hips fake color
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 298,793 751,563 Jan 30, 2016 #11 PAGAN said: Click to expand... Furaha katikati ya lindi la ufukara mkuu huku nchi ya wanoni ikimegwa kila uchao
PAGAN said: Click to expand... Furaha katikati ya lindi la ufukara mkuu huku nchi ya wanoni ikimegwa kila uchao
longi mapexa JF-Expert Member Jul 18, 2015 3,265 4,247 Jan 30, 2016 #12 porini..... hii ni nzuri asee hahahaha