Wanawake ziiii...

Ndio nazama kabisa mbele ya kutafta pesa chochote cha halali nafanya. Yani mvuto huongezeka sasa pakiwa na hela nzuri mana unatunza na Ku maintain every thing including body shape
 
Uziguani siendi.... Nimetulia tuliii hapa nilipo, tunasikiliza raggae tu na bae
haya mimi nipo mwenyewe getto nasikiliza ngoma ya George Benson nothings gonna change my love for you
 
haya mimi nipo mwenyewe getto nasikiliza ngoma ya George Benson nothings gonna change my love for you
Sahivi kaniwekea She is Royal wa Tarrus Rilley hivi kweli ntatoka hapa niende wapi Jimena mimi??
 
Ndio nazama kabisa mbele ya kutafta pesa chochote cha halali nafanya. Yani mvuto huongezeka sasa pakiwa na hela nzuri mana unatunza na Ku maintain every thing including body shape
Ngoja twende pole pole ushajiuliza swali kwanini inakua rahisi kwa mwanamke kukunja miguu either kuja mabegani au ku spread side ways lakini tendo hilo ni vigumu kwa mwanaume ??? Huo mvuto utaongeza na ulanga na nywele kukatika ???
 
Women weren't created to do everything a man can do. Women were created to do everything a man can't do. Wale wenzangu wanaotaka usawa, dream On.
 
Mh! Maneno makali hayo mkuu.
 


Dunia inaelekea kuisha tangu lini mwanamke awe sawa na mwanamume??

Siku hizi kila kitu ni kinyume na mwanzo
1) wanawake wanataka usawa
2)ushoga
3)usagaji
4)kuabudu na kuthamini fedha kuliko chochote

Haya yote ni mabalaa kwa maisha ya sasa

Wanyama wanawashinda wanadamu kwa kila kitu tangu dunia imekuwepo sijawai kuona mnyama shoga au msagaji
 
Sahivi kaniwekea She is Royal wa Tarrus Rilley hivi kweli ntatoka hapa niende wapi Jimena mimi??
unaweza kuja hapa nilipo kwa kuwa huwa najiuliza kama anavyojiuliza Michael Borton How am i supossed to live without you?
 
unaweza kuja hapa nilipo kwa kuwa huwa najiuliza kama anavyojiuliza Michael Borton How am i supossed to live without you?
Kwahakika utasubiri sana maana sasa kaweka mysterious girl wa Peter Andre
 
haiwezi kuwa too late kwa kuwa shania twain ameniusia nikwambie kuwa you are still the one
We hangaika na slow jam hizo wakati mwenzio anamiliki jumla
 
mimi mwanamke ila siamini katika hicho kitu usawa kabisa ,.. ni kitu kipo theoretically ila practically ni uongo
Nimetokea kukupenda miss chagga ulivyo mkweli na muwazi. Keep it up. Wengine huwa wanabishi kwa mambo ambayo moyoni mwao wanajua wanabisha ili waonekane washindi.
 
Ngoja twende pole pole ushajiuliza swali kwanini inakua rahisi kwa mwanamke kukunja miguu either kuja mabegani au ku spread side ways lakini tendo hilo ni vigumu kwa mwanaume ??? Huo mvuto utaongeza na ulanga na nywele kukatika ???
Sijawahi kujiuliza hilo swali, na kwanini inakuwa possible kwa mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…