Wanawake toka visiwa vya Unguja na Pemba wameandamana kupinga wanawake wa kutoka Tanga kuwaibia wanaume zao. Wanawake hao wamedai waume zao wakinaswa kwenye mapenzi kwa wanawake toka Tanga basi waume zao wanazamia moja kwa moja na kusahau wake zao majumbani.
Source: mm mwenyewe nimeshuhudia maandamano hayo jana.
Toto za kitanga fundi bana kunako 6*6
Tatizo wamama wengi wa Zenji ni wanene kupindukia...na unene mara nyingi huleta uvivu hatimaye ubwanyenye
Wengi mtatoa macho lakini hiyo ni taarifa ya matokeo ya utafiti...
wapi mama farkinah?from kibanda maiti!!?