wanawake wzuri wapo msibani

wanawake wzuri wapo msibani

monaco

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
2,184
Reaction score
1,779
habari wadau:
leo nilikuwa napita maeneo karibu na stand flani,nikasikia jamaa wamekaa wanajadili kuwa mwanamke mzuri anapatikana kwenye msiba....
nikajaribu kuingilia maongezi yao kwa kuwauliza kwanini wanasema hivyo?aliesema yale maneno akanijibu "kwasababu mwanamke msibani hajirembi wala hajiandai",hivyo kama ni uzuri utaomjua jinsi alivyo wa asili....je wewe unaonaje?
 
hiyo ni misiba ya kwenu huko ndo hawajirembi wala kujiandaa!!!
 
Misiba nayojua mi siku hizi watu hufanya mashindano ya kujiremba na kupiga pamba, kalagabaho
 
Uswahilini kwetu, msibani ndo sehemu ya kuringishia ulichonacho.....
cheni hereni gold, skuna yako mpya, kope lazma ubandike, kucha ubandike, ukipigiwa simu ya msiba lazma uchomoke fasta saloon kushonea weaving, nk nk
 
huenda kushiriki misiba ilichukuliwa ni kipimo flan cha tabia kwa mwanamke (hapa najaribu kuzungumzia enzi hizo, maana huo msemo ni wa zamani).
 
Waulize wanawake wa kule kwetu kama hawajirembi msibani.
 
Uzur wa mtu inategemeana na mtu..mm naweza muona flan mzur,mwngne akaona ni mbaya..wazur wako popote..
 
Ndugu yangu hata sjui wee unazungumzia misiba gani?

Nijuavyo mimi ni kuwa misiba ya siku ni 'outing event'. Zama zile za mfiwa au wafiwa kutokuoga siku saba (7) ...sijui tamaduni za kujipaka tope au majivu🙂 au sijui kuvaa nguo mbovu mbovu na kujifungiia ndani zimepitwa na wakati🙂

Siku hizi unakwendani msibani unamkuta mjane mwenyewe kapendeza halafu kachangamka vilevile hana chembe ya chozi anateremsha brand taratibu🙂. Kama ndio ulikuwa rafiki wa mumewe ndio kwanza anasisitiza date kuwa shemeji tafadhali njoo unichukue wikiendi ijayo unipeleke mahali tulivu nikaondoe mawazo kwa pamoja ili nyote mkamuenzi marehemu🙂 unabakia shemeji eeh lol! Anarudia kuhakikisha message sent lol

Anyway, Kwa kifupi misibani siku hizi ni outing event inayo hamasisha na kutoa fursa kwa wale wanaosaka date au wenza wa kushea nao maisha kukutana na kuchanganyika ki urahisi.
 
Nimewahi kumuita mwanamke mzuri mara moja tu ktk maisha yangu na ilikuwa Mwanza mwaka 2007 na ilikuwa one night standing!

Nikakokota kitu hadi hotelini!E baana yule mdada anavyoifanya hii kitu yangu mdomoni kama tu KIBOGOYO wala haikwaruzi na kwa kweli sijajua hadi leo alikuwa anafanyaje ahahahaha!Sijawahi fanyiwa vile hata nusu na yyt yule!

Bahati mbaya akakataa kunipa contacts zake;yule ndiye mzuri na wala hakuwa msibani!Mzuri unampata popote pale!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom