wanawake wzuri wapo msibani

wanawake wzuri wapo msibani

Sorry sina nafasi ya kutolea ufafanuzi kwa sasa

Kwa uelewa wangu mdogo nahisi mzuri ikiwa na maana ya tabia sio sura wala umbo,(wapo wenye sura nzuri na umbo zuri but tabia mbovu)

Mrembo ikiwa na maana ya sura tena bila makeup yoyote umbo haijalishi...

Sent from my chaga4n using JamiiForums
 
Licha ya kushindana Gold, Vimini, Suti, Khanga, simu na nywele siku hizi wanatinga na magari kuliko Wanaume na utawakuta wao ni Story tu tena hazihusiani na msiba
  • Oooh aliambiwa ale koni akakuta uvunguni uvumdo
  • yule mbona kawachukua wengi na kawaambukiza
  • mbona kazaa na fulani na wala mtoto si wake alishambambikia zamani
Kwenye Sherehe na misiba usichague mke
 
what is the difference beteen the two ili tuache kijichanganya
Since watu8 yuko busy kwasasa naomba nimsaidie though i am not sure this his difference...
Heaven on Earth me navyojua mwanamke mrembo ni yule ambae kavaa vizuri kapendeza,like kichwani ana wigi,kope za bandia,mambo ya lipstick yani kifupi anaenda na fashion anajipenda na kupangilia mavazi yake vizuri while mwanamke mzuri ni yule ambae anaweza akawa na u hair wke natural tu hata ndani ya twende kilioni,kavaa skirt ya malinda kifupi hajajiwekw ma artificial ila ukimuona mwenyewe unamkubali kua ni mzur....of which wanawake wengi hapa Daslam kwetu si wazuri but ni warembo full artificial kuanzia juu mpaka chini
 
asante PLL kwa maelezo yako na kuwa na mda wa kunipa clarification maana watu8 alinichinjia baharini
 
Last edited by a moderator:
Kwa uelewa wangu mdogo nahisi mzuri ikiwa na maana ya tabia sio sura wala umbo,(wapo wenye sura nzuri na umbo zuri but tabia mbovu)

Mrembo ikiwa na maana ya sura tena bila makeup yoyote umbo haijalishi...

Sent from my chaga4n using JamiiForums
kikie nimekuelewa maelezo yako sasa ukiwa na urembo naturali na uzuri wa tabia inakuwaje
 
Last edited by a moderator:
asante PLL kwa maelezo yako na kuwa na mda wa kunipa clarification maana watu8 alinichinjia baharini

Wakati mwingine najisikia uvivu kutoa fafanuzi...huwa nashiriki majukwaa mengi hapa JF na nikiamua kuelezea jambo huwa napenda kulifafanua kwa kina...kwa uchache labda nikupe tu hizi dondoo hapa chini;

Uzuri - Ni mwonekano ambao mtu anakuwa amejaaliwa au kaumbwa nao.
Urembo/Ulimbwende/Umaridadi - Ni ile hali ya kuendana au kufuata mitindo wa mavazi,vipodozi n.k "fashion"
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom