Wanawake weupe vs Wanawake weusi

Wanawake weupe vs Wanawake weusi

Afya Ya Uzazi: wanawake weupe hupata sana matatizo wakati wa kujifungua mf. kutokwa sana damu, vifafa vya mimba...nk, kwa miaka yangu 15 ya kuhudumu kwenye chumba cha uzazi nimeligundua hili pasi na shaka yaani inafika wakati nikipokea mama mjamzito mweupe huwa nakaa mguu sawa maana lolote linaewza kutokea tofauti na wenzao
Mkuu hii study nzuri jaribu kuifanyia kitu. Inaweza kukulipa
 
Asante mkuu hii kuchanika inawakumba wanawake wengi wakati wakuzaa nikijiwazia cjui nitumie njia IPI mbadala ya kuja kukwepa only few hutoka salama aisee, sasa kuna rudi normal kweli mbona majanga

Sent using Jamii Forums mobile app
ile avatar uliyoitoa kumbe ulikuwe ndo wewe ? Maana ilikuwa na rangi nyeupe
 
unakojoaje sasa kama joto hakuna.....joto lipo achana na izo feeling mbaya ila mwanamke yoyote mnene lazima awe na joto la hatari unaweza kojoa ovyo ovyo pasipo kutarajia
hapa utaleta mada ingine ya wanawake wanene nan wembamba

teh teh

JF never boring aisee
 
Afya Ya Uzazi: wanawake weupe hupata sana matatizo wakati wa kujifungua mf. kutokwa sana damu, vifafa vya mimba...nk, kwa miaka yangu 15 ya kuhudumu kwenye chumba cha uzazi nimeligundua hili pasi na shaka yaani inafika wakati nikipokea mama mjamzito mweupe huwa nakaa mguu sawa maana lolote linaewza kutokea tofauti na wenzao
Mmmh!!!
 
hakika umenena kwa hekima sanaaa you deserve my respect
 
Back
Top Bottom