melisafilbert
Member
- Sep 3, 2013
- 67
- 9
- Thread starter
- #21
ha haha kibweka vipi huwa wanakuwa wakarimu kwako nini ndo maana mnataka kuwapa tip hata kama hawajakua wakibehave vizuri
Babe why!!
unahousegl ukimpa maelekezo pika mboga ya majani hapiki unakuta maharage tu ukimuuliza baadae anakuambia amesahau, anapiga watoto na kuwasukuma hawezi kuvumilia mtoto sekunde akimwita mtoto akavae au kuoga akitembea taratibu anashika kichwa anasukuma hilo nimelishuhudia anakuja mtu wa 2 analalamika hivyo hivyo anakuja wa 3 analalamika kwamba huyu dada watoto hawawez atawaumiza ukimwambia atafute kitu kila siku hakioni, ukiwepo anakuwa busy ukiondoka tu kwenye tv, kazi anasaidiwa na mtu mwingine aliyeko nyumbani kufua kuosha vyombo anasaidiwa kuogesha watoto anasaidiwa hlf inafika mwisho wa mwezi mwenzako anaongeza juu zaidi ya nusu ya mshahara wake eti kwasababu mwenzake alikua amesafiri tumwongezee na huu ndo mwez wa 2 toka afike na mwez wa kwanza tu alipofika unajua kama kawaida watoto wanakuja kuna vitu wamepungukiwa kwahiyo inabidi umnunulie vile vitu muhimu nafikiri mnanielewa nikisema hivyo na nilimleta mtu mwingine kwasababu ya kumsaidia wkt mwingine kwasabau niliona hataweza toka mwanzo. kwangu kumpa nyongeza mdada ni kawaida kwasababu ndio wanalelea watoto wangu na huwa inatokea sana pia ili kuwapa moyo ila kwa huyu tabia zake hajanifurahisha je imekaaje hii