Ila hapa kinachotusumbua ni utofauti mkubwa wa tamadun, mila na desturi zetu ndan ya taifa moja la makabila mengi.
Nitakuwa wa mwisho kuvalisha tabia kwenye hizo urembo kwa wengine.
Najiuliza ujisahahu upeleke kwetu mwanamke ana kikuku, pini za puan na jichoni au mishanga. Walai atalazwa chooni!
Najiuliza mke wa mtu kwetu akutwe kasasambua. Aisee.
Ama kweli Najivunia kwetu bila kudharau wengine