SIFA YA WANAWAKE WENYE NDEVU ZA ASILI.
1) Ni wajasiri sana na hawaonewi kiboya(Kutokana na hormone zao)
2) Hawana tabia ya kudeka deka kabisa
3) Wana figure za ukweli
4) Wana bahati sana,ukiwaoa mambo ya pesa yanaenda poa.
5) Wengi wao wana sauti nzito ya base,sauti no. 4
Ya 6 siiseni ntapigwa ban