nipeleke
mie siwajui mabwana zake waliuokufa ghafla, tupe habariLulu jamani Ana nini? Kila bwanake anakufa kifo cha ghafla
Wewe Mkuu unaona mbali. Hi I habari sio ngeni. Nimeshapata huh ujumbe Mara kadhaa.
Kwa mujibu wa mzee wangu wa heshma kabsa. Alitupa nasaha kwamba tungepaswa kupima hiki kipimo kabla ya kuamua kuoa.
Kabla hujaingia katika mahusiano unaweza anza na kutafuta haya
mwanamke mwenye nuksi. Ukiwa na nae ukagegeda Pima katika siku,Wiki, mwezi au mwaka. Utajua aina na mwanamke ulienae.
wengine ni nuksi mtindo mmoja. pesa hakuna. Unajikuta hata kula huioni.
Nshakuwa na mwanamke hela zangu kwishnei. nilivyomtema mambo yangu saafi.
Aione mumiani lara1
Mwanamke ni mlango, eidha wa baraka au laanaMkuu hili huwa nalisikia sana ila sijajua kuna mahusiano gani kati ya kuwa na mwanamke pamoja na fursa nyingine za kimaisha.
NatiiiOk,
Lini sasa
............ Masharti na vigezo kuzingatiwa,
safari lazima ianzie kwangu................
Natiii
niko tayari hata sasa nije kwako kuweka kambi ya kudumu
nipeleke
Hahahahahahahah! Leo sichangii chochote apa. Ngojeni tu nicheke
Ha ha haaa ha,
Hapo sawa, pengine dawa nyingine nitakuogesha mwenyewe, uuuuwiiii!!!!!
Halafu kuna mademu wengine ukiwagonga tu wanatafuta namba ya mkeo hadi aipate. Akiipata atahakikisha anakunyoa magugumaji kisha anampigia mkeo na kumwambia..... kinyago wako huyo anakuja na kipara ngoto chake.... nimesha mfyeka msitu wake.... mwanamke wa hovyo wewe.... nimekutana na mijoka ya hatari Kwenye msitu wa mumeo
Kachukue barua ya safari kwa mkeo;
Hela ya kula atakuwa anatumiwa kwenye mpesa kila siku.
Wewe Mkuu unaona mbali. Hi I habari sio ngeni. Nimeshapata huh ujumbe Mara kadhaa.
Kwa mujibu wa mzee wangu wa heshma kabsa. Alitupa nasaha kwamba tungepaswa kupima hiki kipimo kabla ya kuamua kuoa.
Kabla hujaingia katika mahusiano unaweza anza na kutafuta haya
mwanamke mwenye nuksi. Ukiwa na nae ukagegeda Pima katika siku,Wiki, mwezi au mwaka. Utajua aina na mwanamke ulienae.
wengine ni nuksi mtindo mmoja. pesa hakuna. Unajikuta hata kula huioni.
Nshakuwa na mwanamke hela zangu kwishnei. nilivyomtema mambo yangu saafi.
Aione mumiani lara1
kuna wanaume wa aina hiyo pia tena mtu mwenye nuksi utakuta yeye mambo yake yanaenda vizuri sana ila aya mkewe ndo hayaendi kwasabab mume hutembelea nyota ya mke na mke kutembelea nyota ya mume. Katika mbadilishano huo ukiona kwako mambo ni mazuri basi ujue mkeo ana nyota nzuri na ukiona mkeo mambo yake hayaendi basi ujue wewe mume ndo una gundu kwa mkeo
unafkir ntakubishia wewe??Imani potofu tu hizo.
unafkir ntakubishia wewe??
nataka nikuonyeshe for real
kweli Una maono, mafunuo na maunabii makali.kuna wanaume wa aina hiyo pia tena mtu mwenye nuksi utakuta yeye mambo yake yanaenda vizuri sana ila aya mkewe ndo hayaendi kwasabab mume hutembelea nyota ya mke na mke kutembelea nyota ya mume. Katika mbadilishano huo ukiona kwako mambo ni mazuri basi ujue mkeo ana nyota nzuri na ukiona mkeo mambo yake hayaendi basi ujue wewe mume ndo una gundu kwa mkeo