Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,039
Laki Si Pesa mwenzio anataka haki sawatenager bana, ndio maana mabinti wanakimbilia kwa wazee wa miaka 75
""Kabla ya hata siku ya kupima oil, nikaanza kupigwa mizinga. Mara hela ya saloon, mara vocha! Nikawa natoa nikijua hatimaye na mie nitapozwa.""Pole kwa gelofrendi kuugua muda usiomuafaka, muda wewe unahitaji mkajienjoy yeye anataka umsaidie gharama ya matibabu
Pole pia kwa kudhania singomama hatakiwi kuomba pesa na kwamba akiomba pesa basi hajielewi, labda ujaribu kwa ambae sio singo mama mtaelewana kuhusu hilo
Lakini inawezekana kweli alikua mgonjwa na alihitaji msaada wako;
ama inawezekana pia kipimo ulichokua unatumia kumpima yeye kwamba asiombe pesa, ndio kipimo hicho hicho na yeye ametumia kukupima wewe kwa kukuomba pesa tena ya matibabu ili ajue kama anaingia kwenye mahusiano na mtu anayejali au laa
Wenyewe watoto wa mjini wanakuambia ukitaka mwanaume akuache muombe pesa🤣🤣
Huyu bwegge tu. Tulikubaliana kuhonga mwisho 10,000/= Tena nauli ya bodaboda/Uber baada ya kugegedwaMimi nadhani wewe ndiye hujielewi. Wanaume hatuendi hivyo.... Umetoka kijijini leo nini?
Ikishindikana AOLEWE tuMkuu achana na huyo single mother, tafuta binti uoe..
Sasa si alitaka apendeze kama ulivyomwona ukavutiwa halafu apate na airtime muwasliane?""Kabla ya hata siku ya kupima oil, nikaanza kupigwa mizinga. Mara hela ya saloon, mara vocha! Nikawa natoa nikijua hatimaye na mie nitapozwa.""
Hapa ulielewa?
Hivi mnadanganywaje hadi mnaanza kutoa hela hata kabla hamjawatafuna, hao wanahitaji uende nao kwa formula zote mbili ya kushambulia na kudefence