Wanawake wengi wasomi au wenye kipato kizuri hawadumu kwenye mahusiano!

Wakati unafanya maisha yako kama kijana wakiume nivema kuwekeza akili zako ktk swala la kimaendeleo iwe umesoma hujasoma lakini malengo yako ni mafanikio watakuja wenyewe tena waliosoma zaidi yako pengine kwa kuona vile ulivyomjasiria Mali mzuri pengine kushinda yeye aliye na kadigrii ulichopata kupitia guest na mafanikio bila kuoa au kuolewa na msomi yapogo tu
 
kwa sababu ni wabaya wa sura mpaka maumbile ukiwa mzuri wa sura na maumbile huwezi kukubali kukesha na mavitabu ukiwa na uhakika wa maisha
 
tatizo nyie watazamaji vinawauma kuliko wanawake wenyewe.

MBONA MMEWAVALIA NJUGA WANAWAKE WA WATU! WAACHENI.

Leo mwanamke akiamua amechoka hapati anayemtaka ana uwezo wa kupata mwanaume yeyote tu fasta! kwahiyo jamani waacheni, wameamua.

mambo ya kuolewa ili kupata status mjini ndomana hawana furaha. Usikia think like a man ndo hiyo. unaacha kuongozwa na hisia.

kuna ile know what you want. mtu anataka maisha yake yawe hivi, so anajua anapaswa kuambata na mwanaume aliye exposed na open minded. that is rare among the uneducated.

WAACHENI WADADA WA WATU.

U know a blood sister? cyo ile movie ya kinaijeria ni Dada yangu damu Moja, baba moja, mama moja hajaolewa kabisa miaka imeenda ni miaka 45 sasa na hakubali amezeeka akiulizwa eti elimu haina uzee na mbaya zaida as his broda anajisahau analeta maneno ya kizara hata kwangu ukimwambia ooooh my brother nisamehe nilijisahau kuna MTU aliniuzi leo ! Hivi kaka utakuja link kwangu ?umeona usengerema wao eti anajaribu kunijenge kisaikolojia ili nisimtapikie akifikiri kuwa upeo wake in sawa na yeye huwa mm namchana kuwa Tabia zako akawaletee hao wapumbavu wenzake mm nitakuvunja miguu yote kama huamini endelea huyu no dada yangu mm je msomi mwanamke hana ubini na mwanaume yoyote utaishia kunywa sumu kabla ya wakati?NB-ninachokisema no jambo la ukweli na sikuhitaji kutoa mifano nnje ya..nimegusa dada yangu kabisa hao sengerema wa somi nihatari sana weka mbali na watoto ni sumu .
 
1. wanawake wasomi wengi wanamaliza hivyo visomo vyao umri ukiwa umeenda hivyo soko lao la kuoleka linakuwa halina Wateja wengi.
2. wanawake wengi wasomi sana (mf. masters na phd).. si warembo wala Si wazuri.
3.Pamoja na mapungufu hapo namba mbili, wanawake wasomi sana ni wabaguzi na wachaguzi mno kwenye suala la nani wa kuwa naye kimahusiano.
Hivyo, wataishia kutoolewa nami nasema wasiolewe tu..maana hatuna namna ya kuwabadilisha mpaka wabadilike wenyewe.

point ya wanawake wasomi kutokuwa wazuri sikubaliani nayo. hata wasio wa na elimu kuna wazuri na wabaya, na ubaya au uzuri uko machoni pa mtu. Hilo swala la kuchagua haliepukiki. Lazima uchague mtu kulingana na malengo yako. Sasa wakija watu unahesabu gharama. Ukiona gharama ya kuolewa inazidi gharama ya kuwa singo basi unakuwa singo, kwani kesi?
 
Pigeni kelele tu wanaume wanaojiamini na darasa la saba lao wanaoa degree holders na wanaishi vizuri, ,
Shida wanaume wengi waoga hawajiamini hata kutongoza!
 
Humu ndani cjui nivae gloves maana daaah mademu wasomi no wabaguzi sana hata wao kwa wao sembuse wanaume dawa hawa ili wasiugue huu ugonjwa wa kuchagua MTU wakuendana nae ni dollari tu hata angekuwa hajui kusoma wala kuandika Huyo mwanaume
 
Siku nimepanda zangu pantoni, this mbaba akakaa pembeni yangu. Kati ya mengi aliyoongea, akaniambia naoneka ni msichana mtiifu (yeye akaona ananisifia hapo). Sasa mimi nikawa nawaza, ingekuwa daladala ningeshuka tu kituo kunachofwata, hapa nipige mbizi??

Ndo uone jinsi ukiolewa na mwanaume wa kiTz unaenda kwa baba yako wa pili. Hapana kwa kweli. Waacheni wadada wa watu. baba mmoja anatosha. hahaa.
Hayo ni maneno tu,hata kwenye bodaboda yameandikwa.
lakini ukweli mnaujua,mnapobaki peke yenu vyumbani mwenu
mmekula vizuri,mmekunywa mnachokitaka,na kulala mnapopataka,
pindi mnapokumbuka hakuna mtu wa jinsia nyingine karibu nawe moyo wako unasikitika na huna la kufanya,
maana kwa mila na desturi za kiafrika huwezi kwenda kutafuta mwanaume wewe mwenyewe maana utaitwa
changu.

Hali hii inawatokea hata wanaume tofauti ni kwamba mwanaume anapoenda
kutafuta mwanamke huonekana ni jambo la kawaida,lakini mwanamke
akitafuta mwanaume hutafsiriwa tofauti na haya ndo makuzi yetu.

Nashauri pamoja na kuwa na elimu na kipato kikubwa
mwanamke atabakia kuwa mwanamke na mwanaume kuwa mwanaume
Heshima ni kitu cha bure,mambo ya usawa wa binadamu yanawapotezea wengi
maisha ya raha na yenye heshima.Hii ni tofauti na kusema wanaume wawatese wake zao NO,
namaanisha kuna heshima ambayo mke akiitoa kwa mmewe inamuongezea uzuri
mbele ya mmewe hata majirani wanaowaona.
 
kilambalila uko sawa kabisa. Mwanamke akishasoma anakuwa anaongozwa na kiburi cha shule maana ya kufuata majukumu yake kama Mwanamke.....chochote utakachomwambia ataanza kuangalia level yake ya elimu kabla hajakubaliana na wewe hata kama cha maana.
Na ndio maana nakumbuke nyerere alisema hawa ma-PHD na ma-Professer hawawezi kuwa viongozi kabisa coz hawataki na hawawezi kujishusha na kupokea ushauri. Sembuse Mwanamke mwenye PhD aambiwe na mumewe mwenye degree kuwa Fanya hv Fanya vile
 
Last edited by a moderator:
mwisho wa siku wanakuwa kwenye KAMATI ZA HARUSI ZA WENZAO NA WADOGO ZAO na kuishia kupiga vigeregere vya KINAFKI
 
Pigeni kelele tu wanaume wanaojiamini na darasa la saba lao wanaoa degree holders na wanaishi vizuri, ,
Shida wanaume wengi waoga hawajiamini hata kutongoza!
Mi ni darasa la saba na najiamini njoo PM nikutongoze.
 
Tatizo ni hela, ukiwa na hela hawawezi lera dharau.... wote hawa ni njaa tu wakikutana na wenye njaa wenzao wanawadharau...
 
nachukia jinsi watu wanafikiri mwanamke ambaye hajaolewa ni kwasababu "hajachaguliwa".

wabongo bado wanafikiri ni kazi ya mwanaume kuchagua mke. mwanamke hana usemi.

jamani eeeeh waacheni dada wa watu, akipata anayemtaka ataolewa. tatizo wanaume wanaotakwa ni wachache mnooo. si unajua 70% ya watanzania ni wakulima? sasa kuliko kusettle for less wanaona bora wajikalie wenyewe. hahaaa.
Na wewe bado hujachaguliwa!
 
Usomi maana yake jitihada zinaelekezwa kwenye Career na kusaka mawe dhidi ya ustawi wa familia inakuwa ngumu sana hawa kuolewa hata ukimuoa ni shida tupu
 
Back
Top Bottom