Wanawake wengi ni bandia...

Wanawake wengi ni bandia...

Status
Not open for further replies.
Misura ya bandia,mikucha ya bandia,minywele ya bandia na hata 'ikulu' za bandia. Halafu kwa kudengua motoooooo.Na kutembea kwa madaha ndio wenyewe. Hawana tofauti na maroboti....wanakereketa sana


Kwani wamekufanyaje the choosen???? Hebu tiririka kwanza!!
 
Last edited by a moderator:
kudadadadadadadeki...hii sasa ndugu zangu mmezidi. Hamkuzaliwa nyie labda.
 
kudadadadadadadeki...hii sasa ndugu zangu mmezidi. Hamkuzaliwa nyie labda.

Amezaliwa ila anaelezea asichokipenda na yaweza kuwa wapo wasiopenda kama yeye!!!!

Ila hapo kwenye ikulu bandia ndio sijamuelewa!!!!
 
Ha ha haaaaa.....pole ndugu yangu nahisi umetendwa na hawa viumbe.. Let it go bhana,fanya mambo yako ya muhim maisha yanaendelea. Omba Mungu akujalie kumpata Super woman na sio hao bandia!!
 
wnaume bandia, kuongea bandia utakoma wewe tu.....................!!! kuringa lazima waringe kujiweka bandia ni gharama kweli kweli....
 
Full majanga!
Watoto wa kiume siku hizi kwa kunung'unika! Mpaka wanasikitisha.
Umeelewa vibaya dada. Hatunung'uniki.Tunawaambia ukweli.Mmezidi kuwa bandia na wachafu
 
Full majanga!
Watoto wa kiume siku hizi kwa kunung'unika! Mpaka wanasikitisha.
tatizo customer service mbovu wakati maintanance cost is high!
We customers deserve the best!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom