Wanawake Wembamba

Mwaafrika

New Member
Joined
Jan 23, 2015
Posts
2
Reaction score
2
Habari, Swali langu hapa ni fupi sana,

Ni kabila gani / Mkoa gani una sifa ya kuwa na wanawake wembamba nchini, ?
 
kanda ya kati pale Singida,Dodoma na Manyara.

Ukibadili gia angani ukataka mizigo nenda kanda ya ziwa😁
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…