BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,488
In Hashim Dogo voice ili jambo liko wazi kama vazi la kahaba. hivi vitu vipo toka enzi na enzi ukiwa boyaboya lazima ustay back kuna vitu utakuwa unaishia kuviwaza tu. hili wazo limekuja baada ya kukumbuka nilivyokuwa na kataliwa na warembo pale CBE Dodoma.