DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,517
Na HIV Test umefanyiwa?Habari wakuu,
Yamenikuta mwanaume mwenzenu, katika harakati za kuchepuka nikipiga mahesabu ndani ya miezi hii mitatu nimetoka na wanawake zaidi ya 20. Matokeo niliyoyapata ndio yamenifanya nibaki njia kuu.
Nimepata ugonjwa wa Genital Warts, ni kama vinyama nyama vinatokea kwenye uume, niko naendelea kutumia dawa.
Juzi nilikuwa mkoa wa Kanda ya Juu, nikajifanya malaya wa kutembea na wadada wa buku 10 ovyo, sijaamini nimekitana na gono siyo la nchi hii. Hapa nilipo natumia AZUMA imeisha, nimeamua kuchoma Ceftriaxone.
Wakuu tubaki njia kuu.
Hatari sana.Kama username yako
Nije inbox au mkuuNjoo nikutibiee
Nimetoa Ushauri lakiniyoteyametimia anasema "Huwezi kuacha kupanda gari kisa jirani kapata ajali"
Kwahiyo ajali yako haitufanyi sisi tuache kuwapelekea moto..
We peleka moto tuuuuu, yaani wapelekee motoooo
#YNWA
Nimefanya zaidi ya mara 10 na test kits ninazo kabisaNa HIV Test umefanyiwa?
Gono , Genital warts na HIV ni mtu na nduguze.
Nimekoma na sirudii Tena unakutana na mwanamke kitu inatema kama niniUkiendelea na tabia hiyo huna miaka minane tunakuzika..nikuulize pombe kali unatumia ukiwa unasomba hio mizoga?
Aisee mimi mwili wangu mgumu kupata hii kituUmekosaje kupata UTI .wakati UTI miaka hii karibia wanawake wengi wanayo
choma na aloveraHabari wakuu,
Yamenikuta mwanaume mwenzenu, katika harakati za kuchepuka nikipiga mahesabu ndani ya miezi hii mitatu nimetoka na wanawake zaidi ya 20. Matokeo niliyoyapata ndio yamenifanya nibaki njia kuu.
Nimepata ugonjwa wa Genital Warts, ni kama vinyama nyama vinatokea kwenye uume, niko naendelea kutumia dawa.
Juzi nilikuwa mkoa wa Kanda ya Juu, nikajifanya malaya wa kutembea na wadada wa buku 10 ovyo, sijaamini nimekitana na gono siyo la nchi hii. Hapa nilipo natumia AZUMA imeisha, nimeamua kuchoma Ceftriaxone.
Wakuu tubaki njia kuu.
Hii kitu Mimi naona kwa miaka hii imepamba Moto SanaAisee mimi mwili wangu mgumu kupata hii kitu
Hongera kwa kulamba asali yenye sumu.Nimefanya zaidi ya mara 10 na test kits ninazo kabisa
Weka picha..Habari wakuu,
Yamenikuta mwanaume mwenzenu, katika harakati za kuchepuka nikipiga mahesabu ndani ya miezi hii mitatu nimetoka na wanawake zaidi ya 20. Matokeo niliyoyapata ndio yamenifanya nibaki njia kuu.
Nimepata ugonjwa wa Genital Warts, ni kama vinyama nyama vinatokea kwenye uume, niko naendelea kutumia dawa.
Juzi nilikuwa mkoa wa Kanda ya Juu, nikajifanya malaya wa kutembea na wadada wa buku 10 ovyo, sijaamini nimekitana na gono siyo la nchi hii. Hapa nilipo natumia AZUMA imeisha, nimeamua kuchoma Ceftriaxone.
Wakuu tubaki njia kuu.
Mashine ndo inakuwa kama ya dogoAlaa! ndo umempata huyu mwanamuziki maarufu kumbeeee! si unaona anaonekana km katoto ka ana miaka kumi na tisa hivi
Utavuna ulichopandayoteyametimia anasema "Huwezi kuacha kupanda gari kisa jirani kapata ajali"
Kwahiyo ajali yako haitufanyi sisi tuache kuwapelekea moto..
We peleka moto tuuuuu, yaani wapelekee motoooo
#YNWA
Kwani hizi nyuzi za kutangazwa magonorhea umekuwa fashooon au Kuna mashindanano?Sasa mm nidanganye nini wakati mimi ndo naumwa