Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Kaunga,nani sasa wa kumhamasisha mwenzie? nyumba nijenge mimi,gari nikununulie mimi,shopping mariedo bill kwangu,dhahabu unique jewellers nanunua mie ,saloon ya bei mbaya nalipia mimi....jamani hata mahanjam nikupe mie? lol haki iko wapi hapo?<br />
<br />
Sorry to disappoint u, lkn ukiona mwanamke hajitumi kitandani jua weye ndio horrible kwani humpandishi/humhamasishi! Nani kakwambia lengo la mwanamke ni kumfurahisha mwanaume? U will be dissappointed to know kuwa mwanamke humake love kwa enjoyment yake, in the process anakufurahisha nawe!
Now about wanawake wazuri kutoolewa, ni kutojiamini kwa wanaume tu! Mnakuwa na wasiwasi kuwa wengine waliojuu yako wanaweza mcharm na kukuacha ndio maana mnaishia kuoa less attractive ila mkiendelea kutamani wadada wazuri! Just shame the devil by being a little honest!