Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Wana jamvi leo hii wanawake wametia aibu katika bunge la katiba kwa kutaka eti wapewe upendeleo katika ungozi wa mwenyekiti na makamo wa mwenyekiti, hiyo hoja imepelekwa na Asha Rose Migiro.badala ya kujadili katiba ilio wapeleka bungeni wanazusha malumbano ya ubinafsi!!!.inakera sana