Wanaopenda mashoga na kuwatumia wamo humu tele, mnajikausha tu na kuwaponda the same way mnavyoponda facebook! Sasa wanatukimbilia sie kwa story na emotional support, ila kwa ngono wanawakimbilia nyie! Mnashindwa kuwakataa?
ni kweli kabisa usemavyo tatizo ni tabia zao za kishenzi ila roho zao ni nyeupe,kuna shoga amefariki wiki mbili zilizopita kwenye msiba wake waombelezaji walikuwa wakimsifia kwa roho yake nzuri kama usemavyo