Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
Nimeangalia coverage ya BBC jinsi ushoga ulivyoenea na kuhalalishwa waziwazi na nchi kibao duniani. Mbaya zaidi hawa mashoga wakioana husikii hata siku moja ndoa zao zinavunjika, wakati kasi ya kuvunjika ndoa za mme na mke ni kubwa na inaongezeka.Noma zaidi hata watu wanaoaminiwa na jamii ndio wanaoweza kuilinda wanaoa watoto wa kiume au wanaume.
Kuna Mchungaji mmoja ambaye alikuwa Mjuislamu alisema Masheikh karibu wote hasa wenye uwezo huoa mke mnene, mwembamba, mweusi, mweupe na mwanaume mmoja ambaye mara nyingi huonekana kama mfanyakazi au houseboy na hilo swala hata wanawake zake huwa wanalijua. Alisema hata yeye alikuwa ameoa mwanaume kabla hajawa mkristo.
Hali kadhalika tumeona kasi ya mapadri ya kulawiti watoto wa kiume ilivyo. Pia kasi ya walimu wa mdrassa kulawiti watoto wa kiume.Hawa wanaume wanaolawitiwa au kuolewa hata siku moja hawataweza kuoa wanawake. Bado mambo mengine kama ulevi yanaathiri wanaume kwa kasi ya ajabu na kukosa nguvu. Hatari zaidi vijana wengi hata habari ya kuoa haipo, yaani wapowapo tu.
Ukizingatia kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume, nani atawaoa wanawake kadri siku zinavyosonga? Sisi wachache tuliobaki kama wanaume rijali hatutabakwa na wanawake mpaka tukome siku za usoni? Hivi haitafikia hatua mwanamke anamwomba mwanamke mwingine mwenye mme alale na mme wake japo aondoe ashiki?
Swala hili linaweza kupatiwa ufumbuzi kweli au dunia inaisha?
Kuna Mchungaji mmoja ambaye alikuwa Mjuislamu alisema Masheikh karibu wote hasa wenye uwezo huoa mke mnene, mwembamba, mweusi, mweupe na mwanaume mmoja ambaye mara nyingi huonekana kama mfanyakazi au houseboy na hilo swala hata wanawake zake huwa wanalijua. Alisema hata yeye alikuwa ameoa mwanaume kabla hajawa mkristo.
Hali kadhalika tumeona kasi ya mapadri ya kulawiti watoto wa kiume ilivyo. Pia kasi ya walimu wa mdrassa kulawiti watoto wa kiume.Hawa wanaume wanaolawitiwa au kuolewa hata siku moja hawataweza kuoa wanawake. Bado mambo mengine kama ulevi yanaathiri wanaume kwa kasi ya ajabu na kukosa nguvu. Hatari zaidi vijana wengi hata habari ya kuoa haipo, yaani wapowapo tu.
Ukizingatia kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume, nani atawaoa wanawake kadri siku zinavyosonga? Sisi wachache tuliobaki kama wanaume rijali hatutabakwa na wanawake mpaka tukome siku za usoni? Hivi haitafikia hatua mwanamke anamwomba mwanamke mwingine mwenye mme alale na mme wake japo aondoe ashiki?
Swala hili linaweza kupatiwa ufumbuzi kweli au dunia inaisha?