Wanawake watapata tabu, nani atawaoa, hasa miaka ya mbeleni?

Wanawake watapata tabu, nani atawaoa, hasa miaka ya mbeleni?

Duuuu ulimwengu umeoza yaaan kama tunafikia hatua ya kukosoa na kudharau uumbaji wa Mungu namna hiiii kweli tu ktk hali mbaya
 
Yaani Mkuu Mimi nimejinyamazia huku niliko mpaka wanagimbana kisa mm

Nadhani kumbe ilishaanza zamani ila naomba wasijenibaka tu maaana ni mi mama kweli mi siitaki.
 
Duh hapa mtaani kwetu pia kuna mijimama inapenda sana vijana sasa sijui na watoto wao wakapende wapi ili waje kuolewa.
 
Soko bado wanalo
 

Attachments

  • 1432459131681.jpg
    1432459131681.jpg
    14.6 KB · Views: 266
Maisha ya sasa ni game of chance. Generation za watu zinavyobadilika hata life styles zinabadilika. Mambo yatabalance kuendana na mazingira.
 
Jamani tunaishi katika nyakati za mwisho alafu atujitambui Mungu tusamehe makosa yetu na upokee roho zetu na siku moja tukupokee mawinguni.
 
Hapo ulipoweka dini za watu toa kwanza harafu nitachangia
 
Back
Top Bottom