wanawake wasio na shukrani


Asante kwa taarifa kuhusu demu wako. Je Mama na baba yako umewapa/zawadia nini?
 
Pole, hv mbona wapo wengi sana wahitaji kama watoto yatima, wajane nk. unatumia mali yako ili dem akupende? utakuja kujinyonga huyo anayeampendaye kwa dhati na si wewe
 

Ukiona manyoya jua kuku kaliwa hakuna cha kujiuliza hapo mkuu tena mpige chepe saa saba kamili mchana hafai huyo!!!!
 
tena na hilo gari kalichukulie kazini kwake kabisa arudi home na daladala!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…