Hivi unajisikiaje kumkuta binti kigoli hana kucha katika vidole gumba vya miguuni.wengine wanajitaidi kuvipga rangi lakini wapi!
nitarejea kidogo
Hivi unajisikiaje kumkuta binti kigoli hana kucha katika vidole gumba vya miguuni.wengine wanajitaidi kuvipga rangi lakini wapi!
nitarejea kidogo
Hivi unajisikiaje kumkuta binti kigoli hana kucha katika vidole gumba vya miguuni.wengine wanajitaidi kuvipga rangi lakini wapi!
nitarejea kidogo
Sidhani kama ni kweli hii mkuu? au hadith?Kwa ufahamu wangu/kutoka ka wataalamu wa mambo haya ni kuwa wanawake wa namna hiyo huwa ni watamu sana kwenye tendo la ndoa,na hii imefanya hata baadhi ya jamii fulani kule India,Malaysia,Vietnam na China kuzing'oa au kuziharibu kucha za watoto wao wa kike wanapokuwa wadogo wakiamini kuwa inaongeza ladha kwenye nonino zao.
Cacio namimi nimependa jinsi ulivyochangia, ila nimependa zaidi avatar yako ngawaje umeibania kwani nimehusianisha na busara zako, you make my day go shalalalalalalalal...kwanza swali lako yaelekea limekutatiza sana! umeuliza kimkato, siwezi jua hii inawahusu wanaume zaidi, ila nimependa pia avatar yako! nimeconect avatar na swali, nimebaki nacheka tu hapa, umenipa smile mchana wa leo!