Wanawake wapole ni watundu kuliko wale mapepe

Wanawake wapole ni watundu kuliko wale mapepe

Teh teh teh,, sema wamekosea kutufungia chura wetu,,
 
Hamna jambo kama hilo kwenye mapenzi,labda kwenye masomo
 
Wanaume wenzangu i hope mshaexperience iki kitu kuwa wadada wapole ni watundu zaidi kwenye mapenzi kuliko wale mapepe
yani wewe unawaza ngono tuuuu wakati sukari inapanda bei kila dakika.? saizi sukari kilo sh 4000 sasa wewe komaa na vinena tu.[emoji35] [emoji35]
 
Back
Top Bottom