Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,971
- 54,098
Sana tukiupata tunatulia tuliWanaume mna tabu jamani mnahangaika sana kutafuta utamu.
Sana tukiupata tunatulia tuliWanaume mna tabu jamani mnahangaika sana kutafuta utamu.
Umewafanyia wangapi research??Wanaume wenzangu i hope mshaexperience iki kitu kuwa wadada wapole ni watundu zaidi kwenye mapenzi kuliko wale mapepe
Lakini siutafuti hvyoHaaaaaaaaaa we mwenywe utamu unaupenda
ai jamani....sema hata neno kidogoMi napita wapendwa
Mmh mnatuliaga nyie zaidi unaendelea kutafuta kwingine ukiamini utapata tena utamuSana tukiupata tunatulia tuli
Kutulia ni tabia ya mtu na siyo kwamba wanaume wote hatutuliiMmh mnatuliaga nyie zaidi unaendelea kutafuta kwingine ukiamini utapata tena utamu
ai jamani....sema hata neno kidogo
asanteKidogoo!
Umejuaje mkuu?Wanaume wenzangu i hope mshaexperience iki kitu kuwa wadada wapole ni watundu zaidi kwenye mapenzi kuliko wale mapepe
kesho zamu ya wakimya.Leo mmekuja na wapole...
Kesho sijui mtakuja na wepi
He hee mje na wenye macho makubwakesho zamu ya wakimya.
Wengi hamtulii.......mnahangaika kama mnataka kutaga.Kutulia ni tabia ya mtu na siyo kwamba wanaume wote hatutulii
karibu mjadala,kwanini upite wima?Mi napita wapendwa
karibu mjadala,kwanini upite wima?
Wee Mnene Au Mwembamba?[emoji1] !Mi napita wapendwa
Na wenyewe ndio sisi.!asante mwenzangu ila ya hapa yanawenyewe