Wanawake wanauliza, sijui wanaume mnataka nini

Wanawake wanauliza, sijui wanaume mnataka nini

GoLC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2025
Posts
135
Reaction score
212
Habari za jioni wana MMU

Moja kwa moja kwenye mada. Nilisema eneo langu kuu litakuwa ni ndoa na mahusiano
Sasa kuna huu usemi wa wanawake kuwa eti hawajui wanaume wanataka nini. Swali hili huja pale ambapo mwanaume katamani kiumbe ambacho mwanamke anaona kina walakini kwa kiasi fulani. Pengine amejilinganisha yeye na X wako akaona kabisa kuwa X ni moto. Saa subconsciously hili swali linamtoka.

Pengine kaona mwanamke mwenzake anazengewa na wanaume na akimtazama haoni. Yani kwa mtizamo wake haoni substance ya kutosha kwa huyo madam. Swali linamtoka tu.

All in all mwanaume anataka (sio anaomba) SUBMISSION. Hii itoke kwa mwanamke. Sio kwamba hawajui ila vichwa ngumu tu. Hili neno ukilileta kwenye muktadha wa mapenzi na ndoa utaliita UTII.

Wanawake msiulize tena hay maswali maana mtapewa na majibu msiyoyapenda sana. Labda niwakumbushe tu kuwa hii submission sio kwenye tendo la ndoa, maana wanaweza kudhani ile kubinuliwa binuliwa ndio submission. Pale wakati wa kubinuliwa elewa kuwa hata wewe unasikia raha.

UTII na pale ambapo unapaswa kutekeleza hata lile lisilokupendeza kwa wakati huo, ila likuwa na faida kwenye ndoa yenu. Nisiongee sana maana mengine yanajulikana kama maji ya kunywa. Kubwa ni hilo la kujitoa ufahamu. Hilo swali msiulize tena. Just submit to the one you love.
 
20250529_075443.jpg
 
Bwana Ibn Unuq kwanza tujipe pole kwa msiba huu wa kitaifa.

Pili huwa nasoma mambo yako.mazitomazito. kwa hilo pozi kama unaguna vile
 
KATAA NDOA , NDOA NI KICHEFU CHEFU NA NI UTUMWA, NDOA NI MFANO WA UTAPELI.
 
KATAA NDOA , NDOA NI KICHEFU CHEFU NA NI UTUMWA, NDOA NI MFANO WA UTAPELI.
No safe comfort zone my friend. At least consider the offspring. Family is still the only institution proper for raising sober and rational people
 
Back
Top Bottom