Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,120
Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna binti mmoja nilitokea kukutana nae kwenye bus ambapo nilikaa nae siti moja kama unavyojua sisi wanaume ni katokea kumtamani ila sikuonesha hisia zozote vijana tunasema nikamlia ngumu bila salam wala tabasam tumefika katika ya safari
Akaanza kuniongelesha kwa kuomba simu yangu basi nikasema inshallah bora alivyoanza yeye tukaanza piga story za uongo na ukweli akawa ananinunulia vitu vya hapa na pale
Tumefika muda tukawa kama tumewahi Kutana sehem au ni ndugu na katika ile safari nilikuw naelekea
mimi ni mgeni sijawahi kwenda
ila kwa upande wa yule binti ni mwenyeji basi akawa ananielekeza baadhi ya maeneo maana safari ilichukua kama masaa13 mpaka kufika hiyo sehem
Basi akawa ananielezea maisha yake nilipenda sana jinsi alivyokuwa na tabia ya ucheshi akapelekea nimchukulie kama dada yangu kufikia hapo tamaa zangu za kumtaka kum....zikakata kumbe mwenzangu anahisia tofauti na mm
Basi hadi kufika mwisho wa safari tukaagana vizuri end the day tukawa tunasaidiana akiishiwa kitu na mtumia pesa nikiishiwa ananitumia
So tunaishi hivyo na jana amenicheki anaomba aje kwangu kwa hiyo nimuongezee nauli na ukiangalia mimi nimeoa na sijamwambia kuhusu hilo
Na sijui yeye ananichukulieje maana hatujawahi kuongelea kuhusu mahusiano sasa sijui nimkubalie aje hom kwangu au nifanyeje maana wife nilimueleza kuhusu hilo akasema mwambie aje ila kwa upande wa yule binti ndio sijamjuza chochote ushauri wenu wakuu
View attachment 2017975
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna binti mmoja nilitokea kukutana nae kwenye bus ambapo nilikaa nae siti moja kama unavyojua sisi wanaume ni katokea kumtamani ila sikuonesha hisia zozote vijana tunasema nikamlia ngumu bila salam wala tabasam tumefika katika ya safari
Akaanza kuniongelesha kwa kuomba simu yangu basi nikasema inshallah bora alivyoanza yeye tukaanza piga story za uongo na ukweli akawa ananinunulia vitu vya hapa na pale
Tumefika muda tukawa kama tumewahi Kutana sehem au ni ndugu na katika ile safari nilikuw naelekea
mimi ni mgeni sijawahi kwenda
ila kwa upande wa yule binti ni mwenyeji basi akawa ananielekeza baadhi ya maeneo maana safari ilichukua kama masaa13 mpaka kufika hiyo sehem
Basi akawa ananielezea maisha yake nilipenda sana jinsi alivyokuwa na tabia ya ucheshi akapelekea nimchukulie kama dada yangu kufikia hapo tamaa zangu za kumtaka kum....zikakata kumbe mwenzangu anahisia tofauti na mm
Basi hadi kufika mwisho wa safari tukaagana vizuri end the day tukawa tunasaidiana akiishiwa kitu na mtumia pesa nikiishiwa ananitumia
So tunaishi hivyo na jana amenicheki anaomba aje kwangu kwa hiyo nimuongezee nauli na ukiangalia mimi nimeoa na sijamwambia kuhusu hilo
Na sijui yeye ananichukulieje maana hatujawahi kuongelea kuhusu mahusiano sasa sijui nimkubalie aje hom kwangu au nifanyeje maana wife nilimueleza kuhusu hilo akasema mwambie aje ila kwa upande wa yule binti ndio sijamjuza chochote ushauri wenu wakuu
View attachment 2017975