Wanawake wanataka hiki kwa mwanaume

Wanawake wanataka hiki kwa mwanaume

Mapenzi hayana formula!! Kwa upande wangu huwa naamini mwanaume ukiwa na pesa utapata mwanamke wa aina yoyote ile unayemtaka. Kwa mfano, muangalie Diamond anavyojipakulia mademu wakali wakali bila kutumia nguvu nyingi!!! Unadhani kabla ya kupata hela angeweza kuwapata kina wema na huyu mwenzake aliyenaye sasa hivi? Acha papala, tafuta hela utapata mademu wakali, kama unabisha, muulize Mzee Reginald Mengi
 
Hiyo dawa yako inaweza kuwa effective kwa wadada wa certain age group, i bet those in adolescence. Wadada wenye maturity hawawezi shughulika na mambo ya kitoto kama hayo. Wanawake werevu wanaangalia wewe ni mwanaume uliyefanikiwa au mwenye nafasi ya kufanikiwa kimaisha (hapa ikiwa na maana uko kwenye harakati za kufanikiwa kimaisha). Hayo mambo ya facebook na picha za walimbwende nakuambia my son, unaweza ukapata mdada akakuwasha kibao. Ila siyo kosa lako, ni uwezo wako wa kufikiri ndiyo umefika mwisho, kuna changamoto ya uzoefu naiona, kimsingi sijui uko kwenye age group gani, lakini unachosema kinanishawishi niamini kwamba wewe bado ni mvulana.
 
  • Thanks
Reactions: B40
Hiyo dawa yako inaweza kuwa effective kwa wadada wa certain age group, i bet those in adolescence. Wadada wenye maturity hawawezi shughulika na mambo ya kitoto kama hayo. Wanawake werevu wanaangalia wewe ni mwanaume uliyefanikiwa au mwenye nafasi ya kufanikiwa kimaisha (hapa ikiwa na maana uko kwenye harakati za kufanikiwa kimaisha). Hayo mambo ya facebook na picha za walimbwende nakuambia my son, unaweza ukapata mdada akakuwasha kibao. Ila siyo kosa lako, ni uwezo wako wa kufikiri ndiyo umefika mwisho, kuna changamoto ya uzoefu naiona, kimsingi sijui uko kwenye age group gani, lakini unachosema kinanishawishi niamini kwamba wewe bado ni mvulana.
Haha haha. ..acha maneno, weka mziki
 
Back
Top Bottom