Wanawake wanapogeuka ombaomba...!


Mh! sasa wale wasio na mahawara wanapata adhabu kutokana na dhana hiyo hiyo.
Kumbuka hilo nalo limekuwa ni Mob Psychology, kila mwanamke anaamini kwamba kila mwanaume ni lazima ana nyumba ndogo.
Nilishangaa juzi hapa kwenye MMU Exclusive interview yangu na lara 1, aliponiuliza kama niliwahi kum-cheat mama Ngina nikakanusha, nusura nitobolewe macho, si wanaume wala wanawake wote walinishambulia wakiongozwa na vinara wa humu MMU Babu DC Dark City na ODM Asprin.

Nahukumiwa kwa sababu ya dhana,na sio kwa ushahidi.......!

Wapo baadhi ya wanaume (Wasiojitambua lakini) wanaolazimika kutokana nje ya ndoa zao kwa ule mtindo wa "kama hanaimini ni heri nifanye kweli" baada ya kuchoshwa na kelele za wenzi wao za kutuhumiwa kutoka nje wakati wala hawana hata wazo hilo..........

Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hapo umenena. Atakayesoma andiko hili na asilielewe ni bora akabebeshwa jiwe na kutupwa mtoni.
SAFI SANA MKUU.
 


hawaamini bila kuaminishwa, walishayaona/sikia/fuma msg etc, huyo anaeamini bila kuguswa basi mgonjwa.
 
Mwanamke akiamua kuwa omba omba huyo ni mvivu!
 
Tatizo hujajua sisi mababu ambao tumekulia kipindi hicho cha hofu ya Mungu na bado tukashuhudia mengi, tumegeuka kuwa maTomaso kwenye haya mambo katika kipindi hiki cha dot com ambacho Mungu amegeuzwa mjomba wa wajukuu zetu.

Usitulumu bure, tumeathirika na teknolojia ya kisasa.

CC Dark City, Kaizer
 
Last edited by a moderator:
And that ''staff'' can be AIDS
 
Baby my mchumba naomba hela ya mtaji nimekwama......
 
Tunatafuta wa kutulea

Nimechoka kuamka na kwenda kumwaga zege daily

Kwani mie nina kasoro gani hadi nikose wa kunilea hapa mjini?

Babu umepinduka! wazungu wenyewe siyo lelemama kihivo. Wanapenda wachapakazi. Unakuta dume zima linamendea hela za mke na wewe mke unamendea hela za mume as if ni houseboy wako.

Kha! tunakoenda ni hatari!
 
Baby my mchumba naomba hela ya mtaji nimekwama......
Waowww!! Naona dalili za baby come back..... Hii haina uhusiano wa "mahawara hawaachani" source; Fidel80.

Baada ya kusema hayo naomba kukufahamisha kuwa ombila lako linafikiriwa na limekubaliwa.

Come zis wei mchumba....
 
Last edited by a moderator:
Waowww!! Naona dalili za baby come back..... Hii haina uhusiano wa "mahawara hawaachani" source; Fidel80.

Baada ya kusema hayo naomba kukufahamisha kuwa ombila lako linafikiriwa na limekubaliwa.

Come zis wei mchumba....

Ninavokupendaga wewe hujui tu.....Na nilijua tu huwezi nileti down swirieeee..Afu wewe hata sio bahili kabisaaaa..

xo xo baby....
 
Nataka na mie pesa ya kushop, nimechoka maji ya asubuhi kila siku nawahi kazini

Afu hata hela zenyewe sina

rafiki umezoea mipingo utaweza hao kuku wa mayai? usije ukachakachua bure, lol!
 
ha haaaaa, bado unakumbuka maumivu shem? lol! pole sana
ni kweli kuna wababa wanatoka nje sababu wameshasingiziwa sana kuwa wanatoka wakati hawatoki...... na hili ni kosa kubwa sana ambalo wamama wengi tunalifanua. kama huna ushahidi wa hilo ni bora kutomhukumu mwenzio.
mimi nimejifunza kitu kimoja, smses, simu, na communications nyingine zinaweza zisiwe ushahidi muafaka wa mtu kutoka nje..... mimi yalishanikuta haya
 
Nataka na mie pesa ya kushop, nimechoka maji ya asubuhi kila siku nawahi kazini

Afu hata hela zenyewe sina
ha haaaaaaaa, unataka kuwa ombaomba? hiyo ni fani ya watu my dear........
mimi nilishawahi kusema hapa, sijawahi kuomba kwa boyfriend/mume.... na sitegemei kufanya hivyo, especially now. kama hujaacha hela ya kufanya kitu ambacho kinatakiwa kufanyika, na inatokea kuwa sina hela, basi sitafanya. na watu nyumbani wameshalijua hili..... wakiona nimezungumzia kufanya kitu fulani na zikapita siku mbili hakijafanyika basi siku inayofuata nitaletewa hela za kufanyia hicho kitu
 
shosti mnialike na mimi niwasaidie......
huwa nakereka sana na wamama wenye hayo matabia aisee.... hivi utamng'ang'aniaje mtoto mdogo ambaye ndo kwanza anaanza maisha? tena msilegeze kamba mpaka kieleweke maana hapo kitakachotokea ni kupotezewa muda huyo mdogo wenu halafu anafurumshwa, take my words
 
bado naikumbuka ile story ya lara 1 ya kulipa bill ya dinner......
leo hapa anawaambia wenzie waendelee kuwa ombaomba.......
 
Last edited by a moderator:

hebu tufafanulie hapo kidogo my dear coz mie hiyo ndio njia niliyojua kama jamaa ana ishu, au mwenzetu ulikuwa unakuta sms za namna gani? mie nilizokutaga zote ni matata haswaaaa,hakuwa na jinsi ya kujitetea,msg zake zote na hawara nilikuwa najifowadia, siku nilipomuonyesha alishaa mwenyewe.
 
bado naikumbuka ile story ya lara 1 ya kulipa bill ya dinner......
leo hapa anawaambia wenzie waendelee kuwa ombaomba.......

Mhhhhhhhhhhhhh!!!!!!! Pale Ilinibidi Sanaaaa! Chezea Who Haaaaaaa!!!!!!! Ningepewa Kung fu za hatari, ingekuwa mango garden au kwa macheni silipi ngoooooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…