Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Mambo mengi wanawake wanaongopa, mfano eti nina ugwadu hatari, hakuna kitu kama hicho ukweli ni kwamba yote haya ni ili wapate pesa.
Ndio maana ji rahisi mwanamke kumwambia mwanaume ana ugwadu ana taka kuja umtumie nauli na baada ya kutuma haji kwa sababu sex kwa wanawake sio priority.
Wanawake wangekua na hisia za mapenzi kama walivyo na hisia za pesa wanaume wangepata shida sana.
Maneno haya ukiyasikia toka kwa mwanaume ni uongo.
1. Nina ugwadu balaa
2. Nina genye balaa
3. Sijafika kileleni
Maneno haya hutumika kuwapanga wanaume.
Ndio maana ji rahisi mwanamke kumwambia mwanaume ana ugwadu ana taka kuja umtumie nauli na baada ya kutuma haji kwa sababu sex kwa wanawake sio priority.
Wanawake wangekua na hisia za mapenzi kama walivyo na hisia za pesa wanaume wangepata shida sana.
Maneno haya ukiyasikia toka kwa mwanaume ni uongo.
1. Nina ugwadu balaa
2. Nina genye balaa
3. Sijafika kileleni
Maneno haya hutumika kuwapanga wanaume.