Wanawake wanaozaa mapacha wana baraka kuliko wanaozaa mmoja

Wanawake wanaozaa mapacha wana baraka kuliko wanaozaa mmoja

Kwa mujibu.wa Yakobo wakati anachunga kondoo wa mkwe wake Labaan alipewa sharti kuwa kondoo atakayezaa watoto wa rangi ya pundamilia ndio watakua wa Yakobo. Basi yakobo akaambiwa na Mungu kuweka vijiti kondoo wanakunywaga maji.

Kufupisha hadithi ni kwamba kondoo wengi walizaliwa mapacha wa rangi ya pundamilia kwa kuangalia vile vijiti wanapokunywa maji.

Yawezekana maji ya ule mto kule Katavi ukinywa maji wake wakati wa ujauzito unazaa mapacha kama kondoo wa Laabani[emoji12][emoji12][emoji12]

Sina hitimisho la mapacha ninachojua kila mtoto ni BARAKA.[emoji129][emoji127][emoji2149]
 
Ngoja kesho uone nyumba ya mke mkubwa ndio utajua kama ni ya kawaida au, na ile ilijengwa miaka ya 1970', hii ya Jacline baada ya miaka 40 pia itakuwa ya kawaida kulingana zitakazokuja..wakati ndio huamua..
 
kwa kifupi ukiacha namna nyingine za kibailojia wanawake wanaozaa katika umri mkubwa 30+ wanauwezekano mkubwa zaidi wakujifungua watoto mapacha sababu unaweza kuzitafuta google au wataalamu wanaweza kuelezea zaidi hapa, inabaki kawaida ya desturi zetu na kwingineko mtu akitaka kukubariki anakupa baraka za pacha hata sita kulingana na wema uliomtendea kwa hiyo baraka zipo tu kwa yeyote, zamani sana kuzaa twins ilionekana kama udhaifu wengine walikuwa wakiuwawa, baada yakuondokana na mtazamo huo ukaja mtazamo wa baraka.
 
Kwa mujibu.wa Yakobo wakati anachunga kondoo wa mkwe wake Labaan alipewa sharti kuwa kondoo atakayezaa watoto wa rangi ya pundamilia ndio watakua wa Yakobo. Basi yakobo akaambiwa na Mungu kuweka vijiti kondoo wanakunywaga maji.

Kufupisha hadithi ni kwamba kondoo wengi walizaliwa mapacha wa rangi ya pundamilia kwa kuangalia vile vijiti wanapokunywa maji.

Yawezekana maji ya ule mto kule Katavi ukinywa maji wake wakati wa ujauzito unazaa mapacha kama kondoo wa Laabani[emoji12][emoji12][emoji12]

Sina hitimisho la mapacha ninachojua kila mtoto ni BARAKA.[emoji129][emoji127][emoji2149]
hii ni stori kama stori nyingine mungu angetaka kondoo wazaliwe mapacha ilikua haina haja ya kuhangaika na vijiti kwenye maji .
 
hii ni stori kama stori nyingine mungu angetaka kondoo wazaliwe mapacha ilikua haina haja ya kuhangaika na vijiti kwenye maji .
HATA ANGETAKA KUWAPONYA WANA WA ISRAEL WASIUMWE NA NYOKA ANGEWEZA BILA KUMWAMBIA MUSA ATENGENEZE NYOKA WA SHABA.

HATA ANGETAKA KUWATOA WANA ISRAEL KUTOKA MISRI ANGEWEZA BILA KUWAPIGA WAMISRI KWA MAPIGO 12

SO ACHAGA UBISHI KAMA HUJUI MAMBO BORA KUNYAMAZA
 
HATA ANGETAKA KUWAPONYA WANA WA ISRAEL WASIUMWE NA NYOKA ANGEWEZA BILA KUMWAMBIA MUSA ATENGENEZE NYOKA WA SHABA.

HATA ANGETAKA KUWATOA WANA ISRAEL KUTOKA MISRI ANGEWEZA BILA KUWAPIGA WAMISRI KWA MAPIGO 12

SO ACHAGA UBISHI KAMA HUJUI MAMBO BORA KUNYAMAZA
sasa hapo huoni unazidi kukazia na kuipa nguvu hoja yangu.
 
Sayansi imekuwa kubwa now, hadi mloganzila nao wanatoa “baraka “😅😅
 
Back
Top Bottom