Baadhi wanapenda kuvaa visuruali na vimini lakini wamejaliwa na Muumba wetu na wamechoshwa na wahuni mitaani kila wapitapo kupigiwa miruzi, na sauti nyingine za ajabu ajabu hivyo wameamua kuvaa hivyo ili kuficha kile ambacho walichokibeba.
labda kama itakuwa oversize, lakini kama ina kufit sawasawa hata kama una neema ndogo ya allah itaonekana tu! Unajua mwenyezi mungu ana maana yake kugawa neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo maana ameumba pia mashabiki wa neema zote hizo!!
Mkuu Chuma Chakavu, vitu vingine ni vya machoni na kuishia moyoni, sio vya kuvitoa nje na kuanza kujisifia kuhusu huyo habibi wako kwa jinsi !,
hala hala usijeturudia humu unalia lia na kulalamika kumhusu huyo habibi wako!, kuna wengine watu, wasisikie, wakihamasika tuu, ujue inakula kwako!.
Endelea!.
Pasco
Pasco thread zako hizi mkuu. Aisee wewe bro unapenda mademu balaaMkuu Chuma Chakavu, vitu vingine ni vya machoni na kuishia moyoni, sio vya kuvitoa nje na kuanza kujisifia kuhusu huyo habibi wako kwa jinsi !,
hala hala usijeturudia humu unalia lia na kulalamika kumhusu huyo habibi wako!, kuna wengine watu, wasisikie, wakihamasika tuu, ujue inakula kwako!.
Endelea!.
Pasco
My dear aaaaaaahhhhhhaaaaa Jamani acha kuniua kwa kucheka mwenzio , aaaaaaahhhhaaaaa, Mummy inabidi nikutafute nikirudi Bongo please, aaaaaaaahhhhaaa . Thanks !
kweli tunatofautiana. Mimi mwanamke anayevaa dira ni big no.... kuvaa madira kunaambatana na uswahili na umbea, labda awe mjamzito
labda kama itakuwa oversize, lakini kama ina kufit sawasawa hata kama una neema ndogo ya allah itaonekana tu! Unajua mwenyezi mungu ana maana yake kugawa neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo maana ameumba pia mashabiki wa neema zote hizo!!
Nakubaliana na wewe dira sio vazi linaloweza kumfanya mwanamke aonekane nadhifu labda huyo mtu alibane na likisha banwa haliwi dira tena linakuwa ni gauni hayo madira ni special kwa siku kama jumapili au jumamosi upo upo tuu nyumbani na misibani mara nyingi
"Neema za Allah"
Hii clipnikikumbuka huwa nacheka sana hasa pale shehe alipsma hapendi wanawake wembama "LABDA ITOKEE TU"" ha hahahah ha
Hahahah!we mwanamke hatazingekuwa kubwa kubwa bado hii kitu haijakaa vizuri sasa ukiwakuta wamechomekea kwenye chupi sijui wanawazaga nini?we utakuwa na neem ndogo ndogo tu bila shaka
we utakuwa na neem ndogo ndogo tu bila shaka
Hahahah!we mwanamke hatazingekuwa kubwa kubwa bado hii kitu haijakaa vizuri sasa ukiwakuta wamechomekea kwenye chupi sijui wanawazaga nini?
umeona ee!!
Neema za Allah zinajimwaga barabara ndani ya Dera