tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,301
laiti kama ungekuwa unatumia jina lako halisi linalotambulika kikatiba usingesema hivi ninavyokufamu wewe
Ndo nshasema,,,,,,
laiti kama ungekuwa unatumia jina lako halisi linalotambulika kikatiba usingesema hivi ninavyokufamu wewe
aisee baeleze baelezee
Kama wanawake wangeweza kweli kubana miguu hadi ndoa, sijui dunia ingekuwa mahali gani saivi. Hilo ni jambo la kufikirika kwa dunia ya sasa.
Asante dadaa,endelea na KUTANUA hilo dude, na ukipata utamu zaidi, TANUA zaidi ila usisahaugi diaphragm.
Kama wanawake wangeweza kweli kubana miguu hadi ndoa, sijui dunia ingekuwa mahali gani saivi. Hilo ni jambo la kufikirika kwa dunia ya sasa.
VERSE VERSA
kama wanaume wangeweza kweli kukaa bila kutongoza,kuvunjua bikira za mabinti,na kutopeleka gegedo mbele plus kuhonga sijiu dunia ingekuwa mahali gani kuanzia kiuchumi,kijamii...........
Na wanaume wanaopewa hiyo mizigo hali hao si wake zao tunawaitaje?
Na wanaume wanaopewa hiyo mizigo hali hao si wake zao tunawaitaje?
Poleni wanawake! Maana katika dhambi zinazotendwa na mwanaume na mwanamke, jamii huona aliyetenda ni mwanamke tu.
The world is not fair
^^
Papucci yangu naipenda!!! naipanua nitakavyo kwa utamu niupatao........
Bila kusahau papucci inaingiza pesa kama saccos vile!
We kama ni mwanaume lakini unapaka lipshine na swaga za kidemu jua we ni shoga
Wewe kama hujaolewa halafu unapanua miguu kwa jamaa ambae sio mume wako, yani boyfriend au mchumba, ujue wewe ni changudoa. Huna tofauti na wale wanaosimama usiku kujiuza.
Japokuwa wewe husimami usiku lakini jijue kuwa na wewe ni changudoa kwasababu wote mnapewa pesa baada ya tendo. Hata kama hupewi mara tu baada ya tendo kama wanavyofanya changudoa wanaosimama barabarani, lakini unapewa pesa za matumizi na mtu ambaye si mume wako kisha ukampanulia miguu, jua wewe ni changudoa au tunaweza kukuita changudoa mwenye kiwango.
Kwa wale dada zangu ambao bado hawajaingia katika hii biashara nawashauri kufunga miguu yenu masije kujiingiza katika hii bihashara. Kwasababu mbali na kumchukiza Mungu unakuwa unajishusha thamani wewe mwenyewe.
Halafu uzuri wake ukifanya hivi huwezi ukaja kukosa wa kukuoa dada.