Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,930
- 14,826
Jana tukiwa kwenye foleni zetu za Dar kurudi nyumbani, mmoja ya mshikaji wangu akatuambia amepata mpenzi. Tukamfurahia na nini, tukamuuliza anaishi wapi, akasema anaishi SINZA🙄
Wenzangu 4 kwenye gari wakaanza kuwaka na kuguna "Dah! Mwanamke wa Sinza achana naye, hafai. Pale huna mwanamke" na malalamiko mengi
Mimi nikawauliza "kwani mdada akiishi sinza kuna shida gani?" Kila MTU akaanza kucheka kasoro mwenye mpenzi🚶
Jamani wadau huku embu mnijuze, kwani mwanamke akiishi Sinza kuna shida gani? Wewe ukimpata mwanamke anaeishi Sinza utamkataa?
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2. "Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
11. Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa
12. Shule imemshinda anatafuta 'sponsor'!
13. ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?
14. Money Penny Mpenzi, naomba namba yako ya simu
15. Story: Money Penny ni nani lakini?!
16. Jinsi ya kumtunza Mume - Shangingi afunguka!
17. Jinsi ya kumkataa mwanaume
18. Pipe kama Pipe, huwa haina huruma na kuremba
19. Kwanini wanawake wenye Wowowo kubwa Huolewa na Wanaume Wembamba?!
20. Swali la tendo la ndoa kwa Mchungaji kwenye mafundisho ya ndoa
Wenzangu 4 kwenye gari wakaanza kuwaka na kuguna "Dah! Mwanamke wa Sinza achana naye, hafai. Pale huna mwanamke" na malalamiko mengi
Mimi nikawauliza "kwani mdada akiishi sinza kuna shida gani?" Kila MTU akaanza kucheka kasoro mwenye mpenzi🚶
Jamani wadau huku embu mnijuze, kwani mwanamke akiishi Sinza kuna shida gani? Wewe ukimpata mwanamke anaeishi Sinza utamkataa?
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2. "Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
11. Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa
12. Shule imemshinda anatafuta 'sponsor'!
13. ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?
14. Money Penny Mpenzi, naomba namba yako ya simu
15. Story: Money Penny ni nani lakini?!
16. Jinsi ya kumtunza Mume - Shangingi afunguka!
17. Jinsi ya kumkataa mwanaume
18. Pipe kama Pipe, huwa haina huruma na kuremba
19. Kwanini wanawake wenye Wowowo kubwa Huolewa na Wanaume Wembamba?!
20. Swali la tendo la ndoa kwa Mchungaji kwenye mafundisho ya ndoa