Wanawake wanaodharau watu soma hapa

Wanawake wanaodharau watu soma hapa


hahahaaaa!!hiyo out yako
unaweza kuja kuweka tangazo huku bure nakuogopa
mi chitaki kuolewa bana,kwanza we bahili kabisaaaa!!
yaani mimi na ubahilini kama ardhi na mbingu vile...hizo conditions i kwa ajili ya kujihakikishia mali tu kuwa ntaimiliki na siyo ubahili...njoo ujilie raha mtoto wa kike....
 
ilikuwa bahati mbaya kwa anna. kwani wakati yupo na yule form four wake waliwahi kupima? si ajabu ugonjwa aliutoa huko na yy ndio akamuambukiza huyo hb hadi kaamua kuchapa lapa.
 
da,bonge ya fundisho.ila wanadam waskuizi kusahau sana ndo dili.kama ingekua tunauzuria mazishi daily tungejua tuishivyo kulingana na maonyo wanayotoa viongozi wa madhehebu.
 
Nafikiri hili nibonge la fundisho kwa dada zetu,hata mimi niliwahi kuachwa sababu ya umaskini na dada mmoja anaitwa Waridi sababu ya gari na nyumba lakini Mungu ni muweza wa yote.
 
Unajijua muathirika halafu bado unafanya ngono zembe?
 
Mtunzi kashindwa kumalizia story kuhusu yule kijana mchovu. mimi nilzani labda siku moja alionana nae akiwa kwnye ist na bonge la mke na watoto mapacha wakiruruka na yeye kaadnika Babies On Board. QUi qui quiiiii mtunzi mwanafunzi huyu
 
hebu nipisheni huko......huna pesa kaa kushoto....maisha yenyewe haya mara moja.....kufa ni kufa tu....kwa ajali......ngoma.......hata ghafla....mwisho wa siku wote tutadedi.......cha muhimu......funja mifupa wakati bado meno ipo.......huyo dada nae kashoboka....mtu akutoe out siku moja....akwambie.....will you marry me.....hushtuki.....huyo kajitakia mwenyewe.......analo hilooooo.......

duhhhhhh... watu wengine bhana kama vile hawana roho ya utu..
 
Back
Top Bottom