jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
well saidlol, kwan wewe ulikomaa ukiwa na umri gani, yaani akukosee mmoja utujumlishe wote. people differ
well saidlol, kwan wewe ulikomaa ukiwa na umri gani, yaani akukosee mmoja utujumlishe wote. people differ
toka hapaHawa mpaka wafikishe miaka 100000000
Ukisika Iiii ujue limempatatoka hapa
hakunaga ila acha hizo. hiyo miaka uliisikia wapi? ina maana hata mama ako hajakomaa akili?Ukisika Iiii ujue limempata
We inaonekana za kwako zimeiva ila hazijakomaahakunaga ila acha hizo. hiyo miaka uliisikia wapi? ina maana hata mama ako hajakomaa akili?
tuwe serious bhana na comments za humu na sio ku generalize
kuna mshkaji hapa juzijuzi alienda mahali tulimalizia o level akakutana na msichana ambaye alikuwa rafiki yangu muda huo..yule dada akasema amenimiss mno mno mno..ikabidi mshkaji anipigie ili niongee na huyo dada..tuliongea mengi mno but mwisho akasema atampa picha zake huyo mshkaji aniletee...sasa siku jamaa anaondoka akapewa picha kweli..sasa jamaa akaziangalia pale pale duuh..ni picha za uchi za yule dada..ikabidi jamaa amuulize kwani mende ni bwana ako akasema hapana ni kumbukumbu tu...basi jamaa akaniletea na mimi nikaamua kumuachia mbili me nikabaki na tatu...sasa najiuliza huyu dada ana akili timamu kweli?
anajua madhara ya kusambaza nyuchi zake kwa watu?
ananitaka?
kama ananitaka kwa nini atumie njia ya kipuuzi hivi?
hahahhahahahahaha una wazimu wewe.We inaonekana za kwako zimeiva ila hazijakomaa
Hahahaha,Bibi yangu mwenyewe hajakomaa akili
zinanifari mara moja mojambona umechukua ?
ungerudisha kama vipi ,tena ulivozipenda ukamgawia hata rafiki yako mpendwa

Haina uhusiano na kukomaa akili....
Evelyn Salt please unnatania...@sanzu unadhani zingekuwa kamili angefanya haya?Kuna correlation ipi kati ya title na body?

zaman sana...hizi kesi zipo nyingi mnolol, kwan wewe ulikomaa ukiwa na umri gani, yaani akukosee mmoja utujumlishe wote. people differ
niombe kwa mods wasinipe ban nikiweka..Weka picha kwanza kama uthibitisho usije ukawa unatudanganya,kwamba ye hana smat phN?
