Kuna mshkaji hapa juzijuzi alienda mahali tulimalizia o level akakutana na msichana ambaye alikuwa rafiki yangu muda huo, yule dada akasema amenimiss mno, ikabidi mshkaji anipigie ili niongee na huyo dada tuliongea mengi mno but mwisho akasema atampa picha zake huyo mshkaji aniletee sasa siku jamaa anaondoka akapewa picha kweli.
Sasa jamaa akaziangalia pale pale, ni picha za uchi za yule dada ikabidi jamaa amuulize kwani mende ni bwana ako akasema hapana ni kumbukumbu tu basi jamaa akaniletea na mimi nikaamua kumuachia mbili mimi nikabaki na tatu. Sasa najiuliza huyu dada ana akili timamu kweli? Anajua madhara ya kusambaza nyuchi zake kwa watu? Ananitaka? Kama ananitaka kwanini atumie njia ya kipuuzi hivi?
Sasa jamaa akaziangalia pale pale, ni picha za uchi za yule dada ikabidi jamaa amuulize kwani mende ni bwana ako akasema hapana ni kumbukumbu tu basi jamaa akaniletea na mimi nikaamua kumuachia mbili mimi nikabaki na tatu. Sasa najiuliza huyu dada ana akili timamu kweli? Anajua madhara ya kusambaza nyuchi zake kwa watu? Ananitaka? Kama ananitaka kwanini atumie njia ya kipuuzi hivi?